johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Vikao vilivyoisha vya Bunge vimekuwa na sura inayeta matumaimi huku Mawaziri Wengi wakionekana ni Zilipendwa wasio na ubunifu
Tunakumbuka Bunge la Mzee Sitta kwa sababu liliiwajibisha Serikali na Baraza la Mawaziri lilibunjwa katika kupambana na ufisadi
Kamati ya Dkt. Mwakyembe ilisheheni Wabunge wa CCM na ndiyo iliyosabsbisha Waziri mkuu mh Lowassa kujiuzulu na Baraza la Mawaziri kuvunjika automatically
Hata hivyo Dr Slaa, Hamad Rashid na Zitto Kabwe walikuwa na mchango mkubwa sana katika Bunge lile
Spika Tulia chapa kazi Sisi Wapendwa katika BWANA tunakuombea Usiku na Mchana
Nawatakia Dominica yenye Baraka!
Tunakumbuka Bunge la Mzee Sitta kwa sababu liliiwajibisha Serikali na Baraza la Mawaziri lilibunjwa katika kupambana na ufisadi
Kamati ya Dkt. Mwakyembe ilisheheni Wabunge wa CCM na ndiyo iliyosabsbisha Waziri mkuu mh Lowassa kujiuzulu na Baraza la Mawaziri kuvunjika automatically
Hata hivyo Dr Slaa, Hamad Rashid na Zitto Kabwe walikuwa na mchango mkubwa sana katika Bunge lile
Spika Tulia chapa kazi Sisi Wapendwa katika BWANA tunakuombea Usiku na Mchana
Nawatakia Dominica yenye Baraka!