Mhigomkami
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 858
- 507
huh, hawa Guinea pigs niliwahi kuwaona ezi hizo miaka ya 90 pale SUA............dah kumbe bado wapo!
Simbilis wapo kwa bei ya 8000 na sungura 12000,nicheki kwa namba 0655674747
Hawa ni kama panya buku (wakifanana na sungura hasa kichwani). Kama panya, nao pia wanatumika sana katika tafiti za kisanyansi. Kwa kiingereza wanaitwa "guinea pigs".
hawa ni kama panya buku (wakifanana na sungura hasa kichwani). Kama panya, nao pia wanatumika sana katika tafiti za kisanyansi. Kwa kiingereza wanaitwa "guinea pigs".
kazuri!
Yeah...nimewaona zaidi maeneo ya baridi kama Iringa, huku pwani sikumbuki kuwahi kuwaona.
Hao seal, ni tofauti...wao ni wakubwa na ni wa majini zaidi (wanakaa baharini /pembezoni mwa bahari).
hiyo ni bwi ya mmoja au wakiwa wengi? na kwa mikoani hiyo huduma inapatikana?Simbilis wapo kwa bei ya 8000 na sungura 12000,nicheki kwa namba 0655674747