Simba wameteuliwa Super League ili kuibeba Al Ahly

Kama ni mfuatiliaji wa kabumbu la Africa lazima utakubaliana na Mimi. Kuna nguvu kubwa ya kuendelea kuibeba Al Ahly iwe timu kubwa Duniani.

Kilichofanyika ni kuiteua simba kucheza super league then kuipangia Al Ahly sababu wana uhakika Al Ahly atabeba points 6 + goals 10+. Na Simba hatafika popote. Tofauti na wangeiteua YANGA super league angeweza kuharibu mipango kwa kumtoa Al Ahly sababu nadhani mnajua kuwa Yanga na waarabu ni paka na panya.

NB: Wenye akili tumeelewa mchezo mzima, makolo asanteni Kwa kushiriki
bahati mbaya, simba watafungwa Ijumaa. natamani washinde lakini maji lazima yafuate mkondo. nawapa pole kabla.
 
Kama ni mfuatiliaji wa kabumbu la Africa lazima utakubaliana na Mimi. Kuna nguvu kubwa ya kuendelea kuibeba Al Ahly iwe timu kubwa Duniani.

Kilichofanyika ni kuiteua simba kucheza super league then kuipangia Al Ahly sababu wana uhakika Al Ahly atabeba points 6 + goals 10+. Na Simba hatafika popote. Tofauti na wangeiteua YANGA super league angeweza kuharibu mipango kwa kumtoa Al Ahly sababu nadhani mnajua kuwa Yanga na waarabu ni paka na panya.

NB: Wenye akili tumeelewa mchezo mzima, makolo asanteni Kwa kushiriki
IMG-20231016-WA0032.jpg
 
Kama ni mfuatiliaji wa kabumbu la Afrika lazima utakubaliana na Mimi. Kuna nguvu kubwa ya kuendelea kuibeba Al Ahly iwe timu kubwa Duniani.

Kilichofanyika ni kuiteua simba kucheza super league then kuipangia Al Ahly sababu wana uhakika Al Ahly atabeba points 6 + goals 10+. Na Simba hatafika popote. Tofauti na wangeiteua YANGA super league angeweza kuharibu mipango kwa kumtoa Al Ahly sababu nadhani mnajua kuwa Yanga na waarabu ni paka na panya.

NB: Wenye akili tumeelewa mchezo mzima, makolo asanteni Kwa kushiriki
Pimbi mkubwa
 
Kama ni mfuatiliaji wa kabumbu la Afrika lazima utakubaliana na Mimi. Kuna nguvu kubwa ya kuendelea kuibeba Al Ahly iwe timu kubwa Duniani.

Kilichofanyika ni kuiteua simba kucheza super league then kuipangia Al Ahly sababu wana uhakika Al Ahly atabeba points 6 + goals 10+. Na Simba hatafika popote. Tofauti na wangeiteua YANGA super league angeweza kuharibu mipango kwa kumtoa Al Ahly sababu nadhani mnajua kuwa Yanga na waarabu ni paka na panya.

NB: Wenye akili tumeelewa mchezo mzima, makolo asanteni Kwa kushiriki
Hoja yako ni ya uongo kwa sababu kuna timu dhaifu kama Enyimba zimo humo ambazo zisingefurukuta pia kwa Al ahly.

Sema nini, nimependa tu kwamba, Yanga na Waarabu ni paka na panya. Unajua sababu ni nini! Yanga anajua kuwakaba na kuziba njia za Waarabu!
 
Kilichonishangaza wamesema ni kombe jipya wameteua Timu nane harafu katika hizo Timu nane zipo ndogo ndio zimeokota wakubwa kwa maana hiyo sio Al Ahly tuu anaebebwa wanazibeba baadhi ya Timu za Kaskazini maana wamewapa upande A na B wakimiliki wao ingawaje kwenye Mpira lolote linaweza kutokea wao wanaamini Petro ya Luanda itamtoa Mamelodi harafu Petro ikafungwa na Al Ahly kumbe Petro nae anaweza kufa kwa Mamelodi na wakakutana Mamelodi vs Al Ahly hiyo nusu Fainal...
 
Hoja yako ni ya uongo kwa sababu kuna timu dhaifu kama Enyimba zimo humo ambazo zisingefurukuta pia kwa Al ahly.

Sema nini, nimependa tu kwamba, Yanga na Waarabu ni paka na panya. Unajua sababu ni nini! Yanga anajua kuwakaba na kuziba njia za Waarabu!
Hakika
 
Kilichonishangaza wamesema ni kombe jipya wameteua Timu nane harafu katika hizo Timu nane zipo ndogo ndio zimeokota wakubwa kwa maana hiyo sio Al Ahly tuu anaebebwa wanazibeba baadhi ya Timu za Kaskazini maana wamewapa upande A na B wakimiliki wao ingawaje kwenye Mpira lolote linaweza kutokea wao wanaamini Petro ya Luanda itamtoa Mamelodi harafu Petro ikafungwa na Al Ahly kumbe Petro nae anaweza kufa kwa Mamelodi na wakakutana Mamelodi vs Al Ahly hiyo nusu Fainal...
Hatari sana
 
Kama ni mfuatiliaji wa kabumbu la Afrika lazima utakubaliana na Mimi. Kuna nguvu kubwa ya kuendelea kuibeba Al Ahly iwe timu kubwa Duniani.

Kilichofanyika ni kuiteua simba kucheza super league then kuipangia Al Ahly sababu wana uhakika Al Ahly atabeba points 6 + goals 10+. Na Simba hatafika popote. Tofauti na wangeiteua YANGA super league angeweza kuharibu mipango kwa kumtoa Al Ahly sababu nadhani mnajua kuwa Yanga na waarabu ni paka na panya.

NB: Wenye akili tumeelewa mchezo mzima, makolo asanteni Kwa kushiriki
Sawa mama. Pole kwa maumivu
 
Back
Top Bottom