Hisia zako tu. Hakuna mwenye time naye.Hii mipira inatupeleka kusiko kabisa . Diara kupangua Penati jana eti kuna wabongo wameumia kuzidi hata Medeama. Inaelezwa chuki hii ni kwasababu AMEHARIBU VIBE LILILOKUWA LINA TREND LA AYOUB
Kweli mpira umeanza kuujua juzi. Jana wamemgongelea mtu 3,huku Diara akipangua penati. Wako kwenye kilele cha furaha. Wanaoteseka wanaeleweka pamoja na kushindi juzi lakini bado hawana furaha. Kuudhihirisha hilo kuna tred za kibao humu toka Ushindi wa jana,zimefunguliwa na mabumunda dhidi ya YANGA.Mpira wa bongo umeanza kuujua juzi? Kwa taarifa yako watu walianza kuumia jumanne baada ya mnyama kuikalisha timu namba mbili kwa ubora africa tena kwa pira la kukubwa sana.
Shabikia hata rede itakufaa.Hii mipira inatupeleka kusiko kabisa . Diara kupangua Penati jana eti kuna wabongo wameumia kuzidi hata Medeama. Inaelezwa chuki hii ni kwasababu AMEHARIBU VIBE LILILOKUWA LINA TREND LA AYOUB
Hii mipira inatupeleka kusiko kabisa . Diara kupangua Penati jana eti kuna wabongo wameumia kuzidi hata Medeama. Inaelezwa chuki hii ni kwasababu AMEHARIBU VIBE LILILOKUWA LINA TREND LA AYOUB
Mpira wa bongo umeanza kuujua juzi? Kwa taarifa yako watu walianza kuumia jumanne baada ya mnyama kuikalisha timu namba mbili kwa ubora africa tena kwa pira la kukubwa sana.
Kwani walishasahau kuwa alipangua penalty nyingine kule Algiers pamoja na rebound yake kwa pamoja?Hii mipira inatupeleka kusiko kabisa . Diara kupangua Penati jana eti kuna wabongo wameumia kuzidi hata Medeama. Inaelezwa chuki hii ni kwasababu AMEHARIBU VIBE LILILOKUWA LINA TREND LA AYOUB
Ni Kama ambavyo Wydad ilivyo sawa kabisa na Ruvu Shooting; imnafungwa na kila timu.Medeama ni biashara utd iliyochangamka, haina ubora wowote Africa. Yanga mlitakiwa kuifunga nyumban na ugenini ni basi tu Mambo ya mpira.
Haaahaaa!Ni Kama ambavyo Wydad ilivyo sawa kabisa na Ruvu Shooting; imnafungwa na kila timu.
Madeama ni jwaneng galaxy iliyochangamkaMedeama ni biashara utd iliyochangamka, haina ubora wowote Africa. Yanga mlitakiwa kuifunga nyumban na ugenini ni basi tu Mambo ya mpira.
Ila umepata muda wa ku comment. Akili kifuu hiiThread zingine bhana.... na hili ukaona n la kufungulia uzi?. Akili kisoda
Mzee mnao umia ni nyie utopolo manake mnajua hamuwezi kufuzu robo fainali hata iwejeKweli mpira umeanza kuujua juzi. Jana wamemgongelea mtu 3,huku Diara akipangua penati. Wako kwenye kilele cha furaha. Wanaoteseka wanaeleweka pamoja na kushindi juzi lakini bado hawana furaha. Kuudhihirisha hilo kuna tred za kibao humu toka Ushindi wa jana,zimefunguliwa na mabumunda dhidi ya YANGA.
Aliipania yanga imemuharibiaHiyo Sowah ndo keshajiharibia hivyo
UtotoMzee mnao umia ni nyie utopolo manake mnajua hamuwezi kufuzu robo fainali hata iweje