Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Liubolo hoyeeeeeeeeeeeeeeeeee
Daaah, mnatunyima raha wakuu....mbona ivo lakini, tulikuwa tunapeperusha bendera ya taifa
Jamani wadau naomba mnisaidie kama ikitokea simba kashinda goli 2-1 itakuwaje?
Simba akishinda 2-1 watatoka vilevile kwasababu goli la ugenini kwa kawaida hutoa mapacha,kwahiyo jana Simba tayari kesha'conceive Pacha,akitaka avuke anatakiwa kushinda 2-0 au 3-1
lazma 2wapge hao libolo'la cvyo ha2takunywa ata maji
Simba akishinda 2-1 watatoka vilevile kwasababu goli la ugenini kwa kawaida hutoa mapacha,kwahiyo jana Simba tayari kesha'conceive Pacha,akitaka avuke anatakiwa kushinda 2-0 au 3-1
Simba akishinda 2-1 watatoka vilevile kwasababu goli la ugenini kwa kawaida hutoa mapacha,kwahiyo jana Simba tayari kesha'conceive Pacha,akitaka avuke anatakiwa kushinda 2-0 au 3-1
Futa hii comment usionekane mpumbavu.
Waulize Zamalek na Mufurila Wanderers wana majibu
kwamba simba akifungwa watasema amepigwa ----.au
Hili jina la hii timu itakayocheza na simba litawasumbua sana mashabiki wa simba hasa kama watafungwa..,mashabiki wa yanga hawatakua na kazi kubwa sana ya kutengeneza kejeli za maudhi dhidi ya wanyama.
Tafakari mwana simba wakati ukiajiandaa dhidi ya libolo -Angola.
kwamba simba akifungwa watasema amepigwa ----.au
Cheki burdani ilivokuwa
Libolo +Mnyama = ?
Waulize Zamalek na Mufurila Wanderers wana majibu
Kajifunze tena sheria ya goli la ugenini...
Gang Chomba nikajifunze mara ngapi sasa wakati nimeshajifunza kwa Wadau walionisahihisha hapo juu,pia sioni sababu ya kuifuta wakati nilishakiri kukosea,mimi nafikiri nyie ndo mnapaswa kufuta comments zenu ksbb zimekuja tayari mkoseaji akiwa ameshasahihishwaFuta hii comment usionekane mpumbavu....