Simba Sc kuanzia Round ya Kwanza Ligi ya Mabingwa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,753
106,315
Ins52160607660_18b36ec9cadb492eb91fb7bdc4bf1105_361744619_980725283353550_5992560171774580472_n.jpg

Tumepokea taarifa kwamba Simba Sc na vigogo wengine wa Super League, wataanzia round ya kwanza katika Ligi ya Mabingwa.

Draw ya round ya awali inategemewa kufanyika tarehe 25 Julai.
 
Back
Top Bottom