Simba sc ifungwe, ili mo apunguze kiherehere

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,259
4,111
Mwamwedi bhana anatabia za ajabu, SIMBA ikikaribia kupata zile Bilioni za CAF ndio anajitokeza kwenye media na kusema kapoteza hela nyingi ili kuwatoa wanachama kwenye FOCUS ya Mpunga wa CAF.

Ni kama vile jamaa anakamradi kake SIMBA inapotinga robo fainal. Kuna hela ya makundi na hela ya robo fainal. Ilikuwaziba mdomo anakuja na hadith za kupoteza Bil 51.

Sasa basi ;

Leo SIMBA SC Ifanyiwe kama siku ile pale kwa Ben na hao hao Galaxy .

Naomba kwa Mungu wa Mbinguni SIMBA afungwe goli 4-0 , kiherehere cha muhindi kiishe.

Amen na hii Dua
Ipokelewe katika mbingu zote
 
Mwenye mali yake anaizungumzia wewe usie na uwezo hata wa kununua jezi orijino unalalama huku mitandaoni
 
Mwamwedi bhana anatabia za ajabu, SIMBA ikikaribia kupata zile Bilioni za CAF ndio anajitokeza kwenye media na kusema kapoteza hela nyingi ili kuwatoa wanachama kwenye FOCUS ya Mpunga wa CAF.

Ni kama vile jamaa anakamradi kake SIMBA inapotinga robo fainal. Kuna hela ya makundi na hela ya robo fainal. Ilikuwaziba mdomo anakuja na hadith za kupoteza Bil 51.

Sasa basi ;

Leo SIMBA SC Ifanyiwe kama siku ile pale kwa Ben na hao hao Galaxy .

Naomba kwa Mungu wa Mbinguni SIMBA afungwe goli 4-0 , kiherehere cha muhindi kiishe.

Amen na hii Dua
Ipokelewe katika mbingu zote
Sema neno, goal sita nyingi
 
Back
Top Bottom