Simba kuitoa Al Ahly ngumu

kilwakivinje

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
6,002
9,091
Baada ya Simba kupangwa kucheza na Mabingwa wa Afrika Al Ahly kwenye hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya African Football League itakayoanza Mwezi Oktoba, Mchambuzi wa soka Geoff Lea amesema Simba kuitoa Al Ahly kwenye michuano hiyo ni ngumu sana.

"Nadhani mashabiki wengi wa Simba bado hawajaridhishwa na kiwango cha timu yao, ingawa nami pia ni shabiki wa Simba, sipo kwenye hilo kundi sababu ninaamini huu ni mwanzo wa ligi na kazi aliyoifanya kocha kwenye mechi za kujiandaa na msimu haiwezi kuonekana kwenye mechi za mwanzoni kama hizi za mpaka sasa, kwa hiyo bado ninaamini kuna kitu kitaonekana lakini yote kwa yote nafasi ya Simba kuitoa Al Ahly ni ngumu sana."— Geoff Leah kwenye EFM Radio.
View attachment 2739366
 
Baada ya Simba kupangwa kucheza na Mabingwa wa Afrika Al Ahly kwenye hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya African Football League itakayoanza Mwezi Oktoba, Mchambuzi wa soka Geoff Lea amesema Simba kuitoa Al Ahly kwenye michuano hiyo ni ngumu sana.

"Nadhani mashabiki wengi wa Simba bado hawajaridhishwa na kiwango cha timu yao, ingawa nami pia ni shabiki wa Simba, sipo kwenye hilo kundi sababu ninaamini huu ni mwanzo wa ligi na kazi aliyoifanya kocha kwenye mechi za kujiandaa na msimu haiwezi kuonekana kwenye mechi za mwanzoni kama hizi za mpaka sasa, kwa hiyo bado ninaamini kuna kitu kitaonekana lakini yote kwa yote nafasi ya Simba kuitoa Al Ahly ni ngumu sana."— Geoff Leah kwenye EFM Radio.
View attachment 2739366
Anyooshe maelezo vizuri, siyo ngumu sana ni haiwezekani.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya Simba kupangwa kucheza na Mabingwa wa Afrika Al Ahly kwenye hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya African Football League itakayoanza Mwezi Oktoba, Mchambuzi wa soka Geoff Lea amesema Simba kuitoa Al Ahly kwenye michuano hiyo ni ngumu sana.

"Nadhani mashabiki wengi wa Simba bado hawajaridhishwa na kiwango cha timu yao, ingawa nami pia ni shabiki wa Simba, sipo kwenye hilo kundi sababu ninaamini huu ni mwanzo wa ligi na kazi aliyoifanya kocha kwenye mechi za kujiandaa na msimu haiwezi kuonekana kwenye mechi za mwanzoni kama hizi za mpaka sasa, kwa hiyo bado ninaamini kuna kitu kitaonekana lakini yote kwa yote nafasi ya Simba kuitoa Al Ahly ni ngumu sana."— Geoff Leah kwenye EFM Radio.
View attachment 2739366
Impossible....
 
Baada ya Simba kupangwa kucheza na Mabingwa wa Afrika Al Ahly kwenye hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya African Football League itakayoanza Mwezi Oktoba, Mchambuzi wa soka Geoff Lea amesema Simba kuitoa Al Ahly kwenye michuano hiyo ni ngumu sana.

"Nadhani mashabiki wengi wa Simba bado hawajaridhishwa na kiwango cha timu yao, ingawa nami pia ni shabiki wa Simba, sipo kwenye hilo kundi sababu ninaamini huu ni mwanzo wa ligi na kazi aliyoifanya kocha kwenye mechi za kujiandaa na msimu haiwezi kuonekana kwenye mechi za mwanzoni kama hizi za mpaka sasa, kwa hiyo bado ninaamini kuna kitu kitaonekana lakini yote kwa yote nafasi ya Simba kuitoa Al Ahly ni ngumu sana."— Geoff Leah kwenye EFM Radio.
View attachment 2739366
Huyu mchambuzi wa mchele ni vizuri akumbushwe kuwa Simba ilishawahi kumtoa Al Ahly kwenye mashindano ya klabu bingwa ya Afrika!! Kwa hiyo siyo kitu kisichowezekana Al Ahly kutolewa na Simba!! Huyu lea abakie kuchambua mchele lakini kuchambua soka awaachie kina Ally Mayai Tembele!!
 
Baada ya Simba kupangwa kucheza na Mabingwa wa Afrika Al Ahly kwenye hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya African Football League itakayoanza Mwezi Oktoba, Mchambuzi wa soka Geoff Lea amesema Simba kuitoa Al Ahly kwenye michuano hiyo ni ngumu sana.

"Nadhani mashabiki wengi wa Simba bado hawajaridhishwa na kiwango cha timu yao, ingawa nami pia ni shabiki wa Simba, sipo kwenye hilo kundi sababu ninaamini huu ni mwanzo wa ligi na kazi aliyoifanya kocha kwenye mechi za kujiandaa na msimu haiwezi kuonekana kwenye mechi za mwanzoni kama hizi za mpaka sasa, kwa hiyo bado ninaamini kuna kitu kitaonekana lakini yote kwa yote nafasi ya Simba kuitoa Al Ahly ni ngumu sana."— Geoff Leah kwenye EFM Radio.
View attachment 2739366
Unacheza friend match na vitimu vya kuokoteza hapa na pale ndiyo umtoe AL Ahly!
 
Huyu mchambuzi wa mchele ni vizuri akumbushwe kuwa Simba ilishawahi kumtoa Al Ahly kwenye mashindano ya klabu bingwa ya Afrika!! Kwa hiyo siyo kitu kisichowezekana Al Ahly kutolewa na Simba!! Huyu lea abakie kuchambua mchele lakini kuchambua soka awaachie kina Ally Mayai Tembele!!
Sema Zamalek sio Al ahly.
 
Kwani hawa wachambuzi wasiwe na akiba ya maneno? Mfano Simba akatoa wataweka wapi nyuso zao.

Kama ingekuwa hivi sasa kulikuwa na haja gani ya kuweka haya mashindano?
 
Baada ya Simba kupangwa kucheza na Mabingwa wa Afrika Al Ahly kwenye hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya African Football League itakayoanza Mwezi Oktoba, Mchambuzi wa soka Geoff Lea amesema Simba kuitoa Al Ahly kwenye michuano hiyo ni ngumu sana.

"Nadhani mashabiki wengi wa Simba bado hawajaridhishwa na kiwango cha timu yao, ingawa nami pia ni shabiki wa Simba, sipo kwenye hilo kundi sababu ninaamini huu ni mwanzo wa ligi na kazi aliyoifanya kocha kwenye mechi za kujiandaa na msimu haiwezi kuonekana kwenye mechi za mwanzoni kama hizi za mpaka sasa, kwa hiyo bado ninaamini kuna kitu kitaonekana lakini yote kwa yote nafasi ya Simba kuitoa Al Ahly ni ngumu sana."— Geoff Leah kwenye EFM Radio.
View attachment 2739366
Utopolo kuitoa Al Merrikh ni ngumu sana
 
Huyu mchambuzi wa mchele ni vizuri akumbushwe kuwa Simba ilishawahi kumtoa Al Ahly kwenye mashindano ya klabu bingwa ya Afrika!! Kwa hiyo siyo kitu kisichowezekana Al Ahly kutolewa na Simba!! Huyu lea abakie kuchambua mchele lakini kuchambua soka awaachie kina Ally Mayai Tembele!!

Mwaka gani alimtoa eti mkuuu
 
Kwani hawa wachambuzi wasiwe na akiba ya maneno? Mfano Simba akatoa wataweka wapi nyuso zao.

Kama ingekuwa hivi sasa kulikuwa na haja gani ya kuweka haya mashindano?
Atakuja sema kua hakusema kama haiwezekani...
 
Aisee kubalini tu matokeo. Kwa miaka ya hivi karibuni, ni Yanga pekee ndiyo imeonesha huo ujasiri wa kuzichachafya timu za Waarabu hata katika viwanja vyao vya nyumbani. Ila siyo simba.
Kwa rekodi ipi??? Ile ya wydad mlikua mnacheza nyie?? Ni mwaka jana au mwaka huuu??
 
Sisi wabongo tatizo letu kubwa ni ubishi!
Hivi Kwa mpira Gani Simba wataitoa Al Ahly wakati hata Singapore Big Stars tu ya Singida waliishindwa!? Ngao ya jamii hawakufunga hata goli moja katika dakika 90 ndo wawafunge wanaume Al Ahly? Kweli?
Makolo wakubali kuwa wameshakufa kiume hata kabla ya mechi!

Mi naona Simba wameingizwa kwenye ligi kwa hisani tu ya watu wa Misri Maana si nilisikia Barbara mweupe mwenzao ni mjumbe huko CAF? Timu Haina kombe hata la kuku misimu miwili mfululizo eti ikashindane na wanaume kina Al Ahly!

Hapa ni msafara wa Mamba tu na wale mijusi wakubwa Huwa nao wapo!

Niliona timu Kali ziliwekwa Pot One na vibonde kama Simba wa kupigwa kama ngoma waliwekwa Pot Two! Kolo Gani anabisha aje tubishane mwanzo mwisho niko gizani Buza kwa Mpalanger nawazoom tu Papatu Papatu mbumbumbu fc!
 
Back
Top Bottom