Simba inatengeneza rekodi ya pekee, mchezaji wa timu nyingine akiwafunga wanamsajili

Inawezekana inatokana na uimara wa kikosi cha Simba.

Kama wako imara na ukawafunga, ina maana nawe uko bora pia..
Siyo dhambi ukisajiliwa.

Lakini wapo waliosajiliwa bila kuifunga Simba.

Punguza story za kwenye kahawa
 
Back
Top Bottom