Simba imepiga bomu Mochwari, Kelele kama zote

babu onyango

JF-Expert Member
Jan 12, 2023
327
813
Hizi timu sijui Caf wanaziokotea wapi, Yaani ile basic football tu hawajui.
Kifupi Simba imekutana na timu dhaifuu sana, Nadhani ni Dhaifu kuliko hata Zalan ya Sudan.

Simba angekuwa kundi lingine lolote lile angeburuza mkia maana hakuna timu mbovu mbovu kama hawa Makirikiri.

Leo rukeni rukeni ila Mwisho wenu ni hapo robo tu...
 
Kimsingi ni vibonde wawili wamekutana leo
IMG_0123.jpeg
 
Hizi timu sijui Caf wanaziokotea wapi, Yaani ile basic football tu hawajui.
Kifupi Simba imekutana na timu dhaifuu sana, Nadhani ni Dhaifu kuliko hata Zalan ya Sudan.

Simba angekuwa kundi lingine lolote lile angeburuza mkia maana hakuna timu mbovu mbovu kama hawa Makirikiri.

Leo rukeni rukeni ila Mwisho wenu ni hapo robo tu...
Baada ya mechi ndio unaongeza haya
 
Hizi timu sijui Caf wanaziokotea wapi, Yaani ile basic football tu hawajui.
Kifupi Simba imekutana na timu dhaifuu sana, Nadhani ni Dhaifu kuliko hata Zalan ya Sudan.

Simba angekuwa kundi lingine lolote lile angeburuza mkia maana hakuna timu mbovu mbovu kama hawa Makirikiri.

Leo rukeni rukeni ila Mwisho wenu ni hapo robo tu...
wenye robo yao wanaingia kibabeeee
 
Hizi timu sijui Caf wanaziokotea wapi, Yaani ile basic football tu hawajui.
Kifupi Simba imekutana na timu dhaifuu sana, Nadhani ni Dhaifu kuliko hata Zalan ya Sudan.

Simba angekuwa kundi lingine lolote lile angeburuza mkia maana hakuna timu mbovu mbovu kama hawa Makirikiri.

Leo rukeni rukeni ila Mwisho wenu ni hapo robo tu...
Ramli chonganishi zinapofeli
 
So mbaya Ina maana huko mochwari hakuna hata wafanyakazi na walinzi au wamepona?
 
Hizi timu sijui Caf wanaziokotea wapi, Yaani ile basic football tu hawajui.
Kifupi Simba imekutana na timu dhaifuu sana, Nadhani ni Dhaifu kuliko hata Zalan ya Sudan.

Simba angekuwa kundi lingine lolote lile angeburuza mkia maana hakuna timu mbovu mbovu kama hawa Makirikiri.

Leo rukeni rukeni ila Mwisho wenu ni hapo robo tu...
afu kumbe timu ilianzishwa 2014...
 
Back
Top Bottom