Ifike mahali tupunguze mihemko ya kishabiki na badala yake tujadili mambo kwa hoja za msingi.Utetezi ni haki ya kila mtuhumiwa awe mwenye hatia au kinyume chake.
Umewahi kumuwekea wakili unayemtuhumu kukuibia? Common let's be logical. Kesi iliyoko mahakamani ni Aveva na Kaburu kuiibia Simba. Kwa mtazamo wangu, Simba walitakiwa waje juu dhidi ya wezi Hawa. Hii ni ajabu nyingine katika soka la TZHawajatiwa hatiani bhana, sema wamefikishwa mahakamani.
Mahakama ndiyo chombo pekee chenye mamlaka ya kuwatia hatiani au kuwaachia huru.
Ni kama vile Tff wawatafute mawakili wakamtete malinziUmewahi kumuwekea wakili unayemtuhumu kukuibia? Common let's be logical. Kesi iliyoko mahakamani ni Aveva na Kaburu kuiibia Simba. Kwa mtazamo wangu, Simba walitakiwa waje juu dhidi ya wezi Hawa. Hii ni ajabu nyingine katika soka la TZ
Je kama aliyeibiwa ameridhika, au haamini kuwa ameibiwa?Upuuzi! Yani Mimi nilieibiwa nitoe wakili kumtetea alieniibia...Hapo simba imebugi...simba ilitakiwa ikae kimya na asiwe upande wowote hadi hukumu itakapotoka ndo waseme kitu...ndo mana nasemaga hii nchi inawasomi wachache sana, hawazidi saba..."and this is the results "(by Magufuli)
Hata kama haamini kuibiwa kwake,alitakiwa akae kimya ili mahakama na pccb zifanye kazi yake coz huenda aliibiwa bila kujuaJe kama aliyeibiwa ameridhika, au haamini kuwa ameibiwa?
Huenda ni ishara ya ustaarabu uliotukuka. Kwenye nchi zilizoendelea, wakili ni haki ya kila mshtakiwa. Kwa hivyo hata ukishtakiwa kwa kosa kama la ugaidi nawe ukakosa wakili, Serikali hiyohiyo inayokushtaki ni lazima ikupatie wakili. Ndio maana hata magaidi walioshikiliwa Guantanamo walipatiwa mawakili na Serikali ya Marekani.Hata kama haamini kuibiwa kwake,alitakiwa akae kimya ili mahakama na pccb zifanye kazi yake coz huenda aliibiwa bila kujua
Unachanganya mada..ishu ya serikali na simba na US dhidi ya washtakiwa wake ni tofautiHuenda ni ishara ya ustaarabu uliotukuka. Kwenye nchi zilizoendelea, wakili ni haki ya kila mshtakiwa. Kwa hivyo hata ukishtakiwa kwa kosa kama la ugaidi nawe ukakosa wakili, Serikali hiyohiyo inayokushtaki ni lazima ikupatie wakili. Ndio maana hata magaidi walioshikiliwa Guantanamo walipatiwa mawakili na Serikali ya Marekani.
Kwahiyo Tff nao watoe wakili wa kumtetea Malinzi?Huenda ni ishara ya ustaarabu uliotukuka. Kwenye nchi zilizoendelea, wakili ni haki ya kila mshtakiwa. Kwa hivyo hata ukishtakiwa kwa kosa kama la ugaidi nawe ukakosa wakili, Serikali hiyohiyo inayokushtaki ni lazima ikupatie wakili. Ndio maana hata magaidi walioshikiliwa Guantanamo walipatiwa mawakili na Serikali ya Marekani.
Hapana Mkuu, zinafanana! Hoja hapa ni kwa muathirika (Serikali ya Marekani/Simba) kuuhakikishia umma kwamba makosa ya mlalamikiwa (magaidi/Aveva, Kaburu) si ya kusingiziwa au ni kwa sababu ya udhaifu tu wa miundombinu ya utetezi; yamethibitika baada ya Walalamikiwa kupewa fursa zote za kujitetea.Unachanganya mada..ishu ya serikali na simba na US dhidi ya washtakiwa wake ni tofauti
Ndiyo, iwapo Malinzi hatakuwa na namna ya kupata wakili na ilivyokuwa Serikali bado haijawa na utaratibu wa kuwapatia raia wake huduma za wakili bila malipo kwa wasio na uwezo.Kwahiyo Tff nao watoe wakili wa kumtetea Malinzi?
Lupango mpaka 13/7Hawajatiwa hatiani bhana, sema wamefikishwa mahakamani.
Mahakama ndiyo chombo pekee chenye mamlaka ya kuwatia hatiani au kuwaachia huru.