miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
nikusahihishe kidogo sio wanaangamia bali "wanaangamizwa" kwa kusosa hayo maarifa.
Mwenye maarifa hawezi angamizwa....kinyume chake asiye na maarifa atajiangamiza mwenyewe kwa ujinga wake
nikusahihishe kidogo sio wanaangamia bali "wanaangamizwa" kwa kusosa hayo maarifa.
sifikiri kama alisoma bali naona ni kama aliaminishwa tu...
Hata Mimi sielewi kuhusu hili dhehebu mwenye taarifa atujuze
Rusumo yupi? Ni yule aliyetuhumiwa kuwa mhamiaji haramu ambaye baada ya kuona anafuatiliwa akaacha kazi au ni Rusumo yupi?
Yesu kweli alishazilipia ata kabla hatujazitenda kwa kuwa yeye ni Mungu na alishaona, sasa wewe ukitenda unakuwa umefanya remix na unamtesa upya.tuko huru na dhambi,Yesu katuweka huru,dhambi haipo maana yesu amelipa garama zake.
Damu ya yesu imetutakasa kabisa na kutuweka huru,Yesu katupa uhuru wa kufanya chochote.
Ukisema kuna dhambi uniambie Yesu alikuja kufanya nini?
Naupenda ukristo kwa sababu moja tu nayo ni kwamba zambi zangu zote zilishabebwa na Mtu mmoja anaitwa Yesu hivyo niko huru.
Hata mimi siwaelewi,wana watu wanajiita sijui kuhani miaka 1000,kuhani amani na upendo,watakatifu,na majina ya ajabu ajabu.juzi waliniletea gazeti lao ndani kuna kalenda ina majina ya miezi yasiyoeleweka.
Anyway ukristo una mambo mengi,hivyo kutoa fursa vikundi vingi vya kidini kuanzishwa wakiwa na tafsiri yao wakiwemo masalia,babu wa loliondo,davidians etc.
Nachoupendea ukristo ni jambo moja tu,unafundisha kwamba Yesu alifuta dhambi zote kwa hiyo hakuna dhambi duniani. Tuko huru kufanya chochote maana hakuna dhambi,Yesu alilipa garama ya tukifanyacho. Thank you Jesus.
Huu sio mtazamo wangu ndiyo mafundisho yanavyotaka, l
so wamaanisha waliokubali hayo maandiko usemayo hata wakitenda maovu hukumu hawahusu?!
Yesu alishalipa garama za wakifanyacho na kufuta tuhuma juu yao.
asante kwa ufafanuzi mzuri...nimejifunza pana watu wanabisha tu bila kujua...
kama dhambi hakuna...kitabu cha ufunuo ni cha kazi gani?!!
pana mtu mmoka alikuwa anasema chochote unachambiwa na mchungaji au mtume nk ni lazima umuulize maswali kama kwa nini+kivipi nk na kukaa tu kama mfu.
kuna haja ya #unknown aje na andiko kitakalo justify hayo madai yake. kwamba hakuna dhambi duniani.
Yesu amekuja kutoa second chance (nafasi ya upendeleo) ili watu tutubu.
Ni mafundisho yanavyotaka kwa tafsiri yako unayoelewa wewe. Kwa tafsiri ya wengine wanavyoelewa si hivyo ndio maana kuna madhehebu tofauti yanayotafsiri mafundisho yale yale mistari ile ile tofauti.
Kwa mfano wewe unaweza niona mimi nimepotoka lakini na mimi nakuona na wewe umepotoka vile vile.Na tukiachwa tuendelee kubishana ngumi zitawaka sababu kila mmoja ana tafsiri yake ya nani muislamu zaidi kuliko mwingine na nani anayejua mafundisho kuliko mwingine.
Ndio maana nikasema tukubaliane kutokubaliana.
Hahaaa
Huyo anaitwa pastor maboya ni noma.
Lazima uhoji unachoambiwa na mtumishi sio kupelekeshwa
Yesu alishalipa garama za wakifanyacho na kufuta tuhuma juu yao.