LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,150
- 11,198
Ndugu zangu habari za Leo
Baada ya kisa cha Ugomvi mkubwa kati ya Mjomba wa wangu na Kijana wake nikaona nije hapa kuhoji,Maana Anko ana watoto wanne ila mmoja tu ndio wa kiume, Huyo wakiume alivyosomeshwa tu kumaliza Chuo akataka akataka aingie kwenye huduma za Kanisa asomee Upadri
Mzee wake na mama yake wakaanzisha vita kali snaa kuwa kama yeye ataenda kuwa Padri Nani ataendeleza kile kizazi pale wakati yeye ndio mtoto pekee pale wa kiume,wakimaanisha kuwa asipoowa wala kuwa na mtoto kile kizazi ndio kitakoma pale pale wakamwambia hilo haliwezekani atafute kazi nyingine
====
Kwa mda sana nimekuwa nikiwa na hili swali kwamba kwa nini viongozi wetu wa kanisa katoliki hawaruhusiwi kuoa au kuolewa kwa Masister nimeshajiuliza sana haya maagizo yalitoka kwa nani ila hadi leo sijui
Ukija kwenye Muongozo wetu sisi wakristo tunaongozwa na kitabu kitakatifu cha Biblia kile kitabu ndio kimetupa muongozo namna ya kuishi na kufuata Mambo mema yanayotufaa kuyaishi
lakini katika Biblia Amri za Mwenyezi Mungu zinakataza Kuzini ila hakuna mstari ulio kwenye Biblia unaokataza mwanaume kuowa au kiongozi wa kondoo wa bwana kuowa kama upo basi nisahihishwe hapa
Hata kwenye Biblia manabii wakubwa kama Ibrahim,Mussa,Eliya,Daudi,Mfalme Suleiman walikuwa ni Manabii waliokuwa wanaskia sauti ya Mungu lakini walikuwa na wake na watoto pamoja na Unabii wao
Ila niliskia Papa akisema kuwa Useja ndio njia pekee ya kuwa karibu na MUNGU Yaani kutoowa kwa Makasisi ndio njia nzuri ya kujiweka Karibu na Mungu, Ila Manabii wakubwa enzi hizo ambao walikuwa karibu sana na MUNGU waliowa na wana watoto
Leo Hii Kanisa Katoliki halitaki Makasisi kuowa ila linategemea wanaoowa wazae ili kupata hao Makasisi ila Mtu akishakuwa Kiongozi ni Marufuku kuowa, Na hili swala ndio limepelekea kashfa kubwa sana ya watoto kuingiliwa na hao hao viongozi ambao wamepigwa marufuku kuowa hiyo yote inachangiwa na hizo Sheria
Na kilichoniskitisha Zaidi ni Kanisa Kuanza harakati za Kuwapigania haki wapenzi wa Jinsia moja, Yaani Papa amekuwa Radhi kukataza Makasisi kuowa ili wapunguze kesi za watoto kuharibiwa, ila amekuwa mstari wa Mbele kupigania haki za wapenzi wa jinsia moja hapo ndio nlipochoka kabisa
Ila yote kwa yote swali langu lipo pale pale nawasilisha...
Baada ya kisa cha Ugomvi mkubwa kati ya Mjomba wa wangu na Kijana wake nikaona nije hapa kuhoji,Maana Anko ana watoto wanne ila mmoja tu ndio wa kiume, Huyo wakiume alivyosomeshwa tu kumaliza Chuo akataka akataka aingie kwenye huduma za Kanisa asomee Upadri
Mzee wake na mama yake wakaanzisha vita kali snaa kuwa kama yeye ataenda kuwa Padri Nani ataendeleza kile kizazi pale wakati yeye ndio mtoto pekee pale wa kiume,wakimaanisha kuwa asipoowa wala kuwa na mtoto kile kizazi ndio kitakoma pale pale wakamwambia hilo haliwezekani atafute kazi nyingine
====
Kwa mda sana nimekuwa nikiwa na hili swali kwamba kwa nini viongozi wetu wa kanisa katoliki hawaruhusiwi kuoa au kuolewa kwa Masister nimeshajiuliza sana haya maagizo yalitoka kwa nani ila hadi leo sijui
Ukija kwenye Muongozo wetu sisi wakristo tunaongozwa na kitabu kitakatifu cha Biblia kile kitabu ndio kimetupa muongozo namna ya kuishi na kufuata Mambo mema yanayotufaa kuyaishi
lakini katika Biblia Amri za Mwenyezi Mungu zinakataza Kuzini ila hakuna mstari ulio kwenye Biblia unaokataza mwanaume kuowa au kiongozi wa kondoo wa bwana kuowa kama upo basi nisahihishwe hapa
Hata kwenye Biblia manabii wakubwa kama Ibrahim,Mussa,Eliya,Daudi,Mfalme Suleiman walikuwa ni Manabii waliokuwa wanaskia sauti ya Mungu lakini walikuwa na wake na watoto pamoja na Unabii wao
Ila niliskia Papa akisema kuwa Useja ndio njia pekee ya kuwa karibu na MUNGU Yaani kutoowa kwa Makasisi ndio njia nzuri ya kujiweka Karibu na Mungu, Ila Manabii wakubwa enzi hizo ambao walikuwa karibu sana na MUNGU waliowa na wana watoto
Leo Hii Kanisa Katoliki halitaki Makasisi kuowa ila linategemea wanaoowa wazae ili kupata hao Makasisi ila Mtu akishakuwa Kiongozi ni Marufuku kuowa, Na hili swala ndio limepelekea kashfa kubwa sana ya watoto kuingiliwa na hao hao viongozi ambao wamepigwa marufuku kuowa hiyo yote inachangiwa na hizo Sheria
Na kilichoniskitisha Zaidi ni Kanisa Kuanza harakati za Kuwapigania haki wapenzi wa Jinsia moja, Yaani Papa amekuwa Radhi kukataza Makasisi kuowa ili wapunguze kesi za watoto kuharibiwa, ila amekuwa mstari wa Mbele kupigania haki za wapenzi wa jinsia moja hapo ndio nlipochoka kabisa
Ila yote kwa yote swali langu lipo pale pale nawasilisha...