Mwanahisa
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 1,382
- 510
Jamii Forum, jukwaa huru.
Hakikisha unawajuza na kuwaunganisha ndugu,jamaa na marafiki.
Information is power, kwa habari sahihi na makini hakuna jinsi hatutafika tunakotaka kwenda.
Hebu watanzania tuwe chachu ya mabadiliko yetu wenyewe, kwa faida ya nchi na uzao wetu.
Takwimu;
Washiriki wenye usajili wa JF hadi sasa ni 83,663 tu
na tunahitaji washiriki angalau 100,000 kukaribia malengo.
Tanzania tunayoitaka inaanza na wewe mtanzania.
Hakikisha unawajuza na kuwaunganisha ndugu,jamaa na marafiki.
Information is power, kwa habari sahihi na makini hakuna jinsi hatutafika tunakotaka kwenda.
Hebu watanzania tuwe chachu ya mabadiliko yetu wenyewe, kwa faida ya nchi na uzao wetu.
Takwimu;
Washiriki wenye usajili wa JF hadi sasa ni 83,663 tu
na tunahitaji washiriki angalau 100,000 kukaribia malengo.
Tanzania tunayoitaka inaanza na wewe mtanzania.