Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 9,322
- 26,270
nilipanga kubet leo khaaa ndo nakumbuka saizi😂 usiku mwema
nilipanga kubet leo khaaa ndo nakumbuka saizi😂 usiku mwema
Tayari jamvi langu linatembea ila ujachelewa mechi mbona ni nyingi sana.nilipanga kubet leo khaaa ndo nakumbuka saizi
mbeya ni ya wasafwaUyole ndio wanakaa wasafwa?
Means ‘ninyi’'Umwe' ina maana yoyote kinyakyusa?
nilitaka za afcon😂😂Tayari jamvi langu linatembea ila ujachelewa mechi mbona ni nyingi sana.
Ipo live unaweza kubetnilitaka za afcon😂😂
6. MwakaroboNaomba maana ya
1.Mwakasakafyuka
2. Mwaipopo
3. Mwakaleli
4. Mwakabungu
5. Mwamposa
Tununuu
To yeye come this way
Ngoja niulize
😂 au basi hadi uulizeNgoja niulize
ni jina tu hilo😂😂6. Mwakarobo
Sawa, haina maana kama mtoa mada alivoweka?ni jina tu hilo😂😂
Sawa asanteMeans ‘ninyi’
😂😂😂Sawa, haina maana kama mtoa mada alivoweka?
Ikishindikana basi, tutaiita mnyama Simba
Mkuu kiringo maan yake ni kurithi inaweza kuwa mke au mji. Mfano kama nyumbani kwenu baba na mama wote wamefariki basi mtoto mkubwa atatakiwa kurithi huo mji ndo itaitwa hivo Kiringo.Unarithi nini au kurithishwa nini ..ndio nataka kujua
Ambonisye-AmenionyeshaAmbonisye
Andongwisye
Andendekisye
Anyonyisye
Ambakisye
Ahsante sana Mkuu umenieleweshaMkuu kiringo maan yake ni kurithi inaweza kuwa mke au mji. Mfano kama nyumbani kwenu baba na mama wote wamefariki basi mtoto mkubwa atatakiwa kurithi huo mji ndo itaitwa hivo Kiringo.
Mpoki ni jina la kinyakyusa ndio na maan yake ni Mwokozi au mkombozi.Mpoki ni jina la kinyaki?