Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,342
- 6,387
Habari zenu bwana!.
Kifupi Mimi liwagu sikuwahi kujua kazi halisi ya mkuu wa mkoa na kwa mtazamo wangu sikuona haja sana ya kuwa na wakuu wa mkoa.
Lakini kwajinsi ninavyomuona mkuu wa mkoa wa Arusha P. C. Makonda anavyofanya kazi ya utumishi katika mazingira ambayo anaonyesha nguvu ya mkuu wa mkoa ilivyo katika kutumikia wananchi kwenye mkoa wake,inaanza kuleta maana.
Nijambo jema kuwa na rais anae penda watendaji wa aina ya Jeri Slaa, na Makonda.
Kuanzia maofisini mpaka mitaani, wabongo wasipo nyooshwa hawanyooki wenyewe.
Nimwendo wa dhuluma, wizi, ufisadi na dharau!.
Wakuu wa mikoa wengine vuteni soksi.
Actions speak louder than words.
Kifupi Mimi liwagu sikuwahi kujua kazi halisi ya mkuu wa mkoa na kwa mtazamo wangu sikuona haja sana ya kuwa na wakuu wa mkoa.
Lakini kwajinsi ninavyomuona mkuu wa mkoa wa Arusha P. C. Makonda anavyofanya kazi ya utumishi katika mazingira ambayo anaonyesha nguvu ya mkuu wa mkoa ilivyo katika kutumikia wananchi kwenye mkoa wake,inaanza kuleta maana.
Nijambo jema kuwa na rais anae penda watendaji wa aina ya Jeri Slaa, na Makonda.
Kuanzia maofisini mpaka mitaani, wabongo wasipo nyooshwa hawanyooki wenyewe.
Nimwendo wa dhuluma, wizi, ufisadi na dharau!.
Wakuu wa mikoa wengine vuteni soksi.
Actions speak louder than words.