Magufuli ni upepo tu hana alilolifanyia nchi hii zaidi ya kujineemesha yeye na kundi lake ujenzi hana mfano mzuri hadi leo amekataa kutoa ripoti ya CAG maana ujenzi kulikuwa na madudu na hadi amewanyima fedha mwaka huu za kufanyia kazi Magufuli ni mfano mbovu kuwahi kutokea Tanzania vigezo vyote vya kimaendeleo kiuchumi kisera,kisheria na kijamii ni zero kama yule laiyemweka mkoa wa Dar es salaam