Huyo ni Mwigulu kaja kivingineYani wewe ni kilaza kweli kweli, katika hizo page 500 Hakuna definition of terms? Au maelezo Mafupi?
Sasa Mbona wewe umetoa definition kwa ufupi? Ivi, does it have to be your profession to understand?
Kingine Waziri wa fedha huchagua Chairman na wajumbe wa TRAB na hushiriki pia kuchagua wajumbe wa TRAT, how comes ana power nzito hivyo lakini hajui kuzielezea rufani zake za kikodi?
Ni kweli lakini hasa anayezisimamia hizo organ anapaswa kujua anavyovisimamia. Mimi nikiwa na nafasi ya uongozi ni lazima niwe na list ya kila idara ama taasisi iliyochini yangu na at least nijue 10% ya activity wanazozifanya...kwa maoni yangu mbunge anapaswa kufahamu trab na trat ni nini.
Si angeelezea kama hivi ulivyosema hapa.?Binafsi sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri atolee ufafanuzi kuhusu TRAT na TRAB ndani ya sekunde Moja, (Aelezee kitabu chenye kurasa 500 ndani ya sekunde moja)
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB
namshangaaWe kilaza umetumia muda gani kuelezea ?
aelezee kitabu au aliulizwa TRAT na TRAB ni niniiiii?, we mbona umeziandika hapo, hata hayo uliyo yaandika alishindwa kuyasema.Binafsi sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri atolee ufafanuzi kuhusu TRAT na TRAB ndani ya sekunde Moja, (Aelezee kitabu chenye kurasa 500 ndani ya sekunde moja)
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB
Mtoa mada acha kutetea INCOMPETENCE. Mwigulu ni mtupu na hiyo kazi hana uwezo nayo. Hata kujiita PhD anakiabisha chuo cha UDSM kilichompa hiyo cheti feki.Binafsi sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri atolee ufafanuzi kuhusu TRAT na TRAB ndani ya sekunde Moja, (Aelezee kitabu chenye kurasa 500 ndani ya sekunde moja)
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB