Mag3,
Nafikiri unachanganya vitu sio kuwa upande mmoja ulishinda pale Znz 1991, Ad died a natural death. Ni kuwa sera za AD zilishindwa na hii ilikuwa wazi kwa kila mtu viwanda vilikufa, sera mbovu, uonevu, hakukuwa na uwazi na watu walikuwa hawana imani tena na AD. Nyerere alikuwepo na alilijua hilo sera zake run to the ground...vilevile ukumbuke wakati huo Berlin wall came down na wazi sera za kikomunisti zilifikia mwisho wake.
Ukweli ni kuwa hizi sera zilikuwa zinaonea watu, kama unakumbuka ule mpango wa kulazimisha vijiji bila kuwa na huduma muhimu, uonevu wa kimabavu, no democracy, no freedom of speech na maovu mengineo yalikithiri Tz. wengi wetu ilikuwa ni never ending nightmare ambayo mwisho wake ulikuwa wazi kuwa haukuwa mbali. Abraham Lincoln alisema 'You can fool some people some time BUT you can't fool all the people all the time'
Nawakilisha
Nafikiri unachanganya vitu sio kuwa upande mmoja ulishinda pale Znz 1991, Ad died a natural death. Ni kuwa sera za AD zilishindwa na hii ilikuwa wazi kwa kila mtu viwanda vilikufa, sera mbovu, uonevu, hakukuwa na uwazi na watu walikuwa hawana imani tena na AD. Nyerere alikuwepo na alilijua hilo sera zake run to the ground...vilevile ukumbuke wakati huo Berlin wall came down na wazi sera za kikomunisti zilifikia mwisho wake.
Ukweli ni kuwa hizi sera zilikuwa zinaonea watu, kama unakumbuka ule mpango wa kulazimisha vijiji bila kuwa na huduma muhimu, uonevu wa kimabavu, no democracy, no freedom of speech na maovu mengineo yalikithiri Tz. wengi wetu ilikuwa ni never ending nightmare ambayo mwisho wake ulikuwa wazi kuwa haukuwa mbali. Abraham Lincoln alisema 'You can fool some people some time BUT you can't fool all the people all the time'
Nawakilisha