Sikufanya makosa kumpa kura Mwigulu 2010, na naahidi kumpa tena akigombea 2015!

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
Kiongozi wangu mhe. Mwigulu kwa sasa ni mti wenye matunda, kila mpinzani ana upiga mawe, na hii ndio inanipa faraja na furaha kuwa sijakosea kumpa kura yangu mhe. Mwigulu!!!

Mhe. Mwigulu ukilinganisha na wabunge wengi, yeye ni miongoni mwa wabunge wachache waliojitoa kuhudumia wananchi (Iramba magharibi), kwani alikubari kuacha kazi yake kama mwandamizi wa benki kuu ya Tanzania ambayo ilikuwa na maslahi makubwa tu, lakini kwa utashi wake aliweka maslahi ya wana Iramba mbele kwa kuwa mbunge wetu, ila wabunge wengine wanautaka ubunge ili wapate tonge.

Kubwa linalo nifanya nibaki na msimamo wangu wa kumpa kura mhe. Mwigulu ni usikivu wake, umakini wa kufuatilia matakwa ya wananchi na upeo wake mkubwa katika kubuni mbinu za kusaidia changamoto mbalimbali za wananchi, kama vile upatikanaji wa maji kwa ukaribu, ujenzi wa shule na vituo vya afya.

Ni imani yangu haya yote mazuri ya mhe Mwigulu yanatokana na elimu yake, kwani kuna kauli isemwayo ndani ya CCM kuwa "ELIMIKA ILI UHUDUMIE TAIFA", na mhe Mwigulu amethibitisha hili. Jionee mwenyewe elimu ya mbunge wangu;

EDUCATION

1. University of Dar Es Salaam Degree (Economics) 2001 - 2004 GRADUATE

2. The East African Uongozi Institute Management 2002 - 2003 CERTIFICATE

3. University of Dar Es Salaam Masters(Economics) 2004 - 2006 MASTERS DEGREE

Je, na wewe mbunge wako ana kuhudumia utakavyo? ukiona ana mapungufu basi sio kingine, mchunguze elimu yake.
 
Kiongozi wangu mhe. Mwigulu kwa sasa ni mti wenye matunda, kila mpinzani ana upiga mawe, na hii ndio inanipa faraja na furaha kuwa sijakosea kumpa kura yangu mhe. Mwigulu!!!

Mhe. Mwigulu ukilinganisha na wabunge wengi, yeye ni miongoni mwa wabunge wachache waliojitoa kuhudumia wananchi (Iramba magharibi), kwani alikubari kuacha kazi yake kama mwandamizi wa benki kuu ya Tanzania ambayo ilikuwa na maslahi makubwa tu, lakini kwa utashi wake aliweka maslahi ya wana Iramba mbele kwa kuwa mbunge wetu, ila wabunge wengine wanautaka ubunge ili wapate tonge.

Kubwa linalo nifanya nibaki na msimamo wangu wa kumpa kura mhe. Mwigulu ni usikivu wake, umakini wa kufuatilia matakwa ya wananchi na upeo wake mkubwa katika kubuni mbinu za kusaidia changamoto mbalimbali za wananchi, kama vile upatikanaji wa maji kwa ukaribu, ujenzi wa shule na vituo vya afya.

Ni imani yangu haya yote mazuri ya mhe Mwigulu yanatokana na elimu yake, kwani kuna kauli isemwayo ndani ya CCM kuwa "ELIMIKA HILI UHUDUMIE TAIFA", na mhe Mwigulu amethibitisha hili. Jionee mwenyewe elimu ya mbunge wangu;

EDUCATION

1. University of Dar Es Salaam Degree (Economics) 2001 - 2004 GRADUATE

2. The East African Uongozi Institute Management 2002 - 2003 CERTIFICATE

3. University of Dar Es Salaam Masters(Economics) 2004 - 2006 MASTERS DEGREE

Je, na wewe mbunge wako ana kuhudumia utakavyo? ukiona ana mapungufu basi sio kingine, mchunguze elimu yake.
MWIGULU NI SAWA NA WEWE.Wote ni kama hamjawahi kukaa darasani, hatusemi ELIMIKA HILI USAIDIE Sema ILI.Katika baadhi ya posts za mwigulu utakuta makosa ya kisarufi mengi tu utadhani ameishia darasa la saba B! Hata HITLER alikuwa na wafuasi ingawa alikuwa muuaji.
 
Naamini Mwigulu ni miongoni mwa wanasiasa vijana wanaolimudu vema jukwaa alipewa nafasi.
 
Acha ujinga wako wa kutumia ID yako nyingine kujipigia debe. Wewe Mwigulu ni mtu mpumbavu sana na hatari sana kwa Tanzania na Watanzania.
 
Kiongozi wangu mhe. Mwigulu kwa sasa ni mti wenye matunda, kila mpinzani ana upiga mawe, na hii ndio inanipa faraja na furaha kuwa sijakosea kumpa kura yangu mhe. Mwigulu!!!

Mhe. Mwigulu ukilinganisha na wabunge wengi, yeye ni miongoni mwa wabunge wachache waliojitoa kuhudumia wananchi (Iramba magharibi), kwani alikubari kuacha kazi yake kama mwandamizi wa benki kuu ya Tanzania ambayo ilikuwa na maslahi makubwa tu, lakini kwa utashi wake aliweka maslahi ya wana Iramba mbele kwa kuwa mbunge wetu, ila wabunge wengine wanautaka ubunge ili wapate tonge.

Kubwa linalo nifanya nibaki na msimamo wangu wa kumpa kura mhe. Mwigulu ni usikivu wake, umakini wa kufuatilia matakwa ya wananchi na upeo wake mkubwa katika kubuni mbinu za kusaidia changamoto mbalimbali za wananchi, kama vile upatikanaji wa maji kwa ukaribu, ujenzi wa shule na vituo vya afya.

Ni imani yangu haya yote mazuri ya mhe Mwigulu yanatokana na elimu yake, kwani kuna kauli isemwayo ndani ya CCM kuwa "ELIMIKA HILI UHUDUMIE TAIFA", na mhe Mwigulu amethibitisha hili. Jionee mwenyewe elimu ya mbunge wangu;

EDUCATION

1. University of Dar Es Salaam Degree (Economics) 2001 - 2004 GRADUATE

2. The East African Uongozi Institute Management 2002 - 2003 CERTIFICATE

3. University of Dar Es Salaam Masters(Economics) 2004 - 2006 MASTERS DEGREE

Je, na wewe mbunge wako ana kuhudumia utakavyo? ukiona ana mapungufu basi sio kingine, mchunguze elimu yake.

kama hyo elimu ndiyo maendeleo vp kuhusu yule dr. dhaifu pale magogoni mbona wananchi tunaendelea kuumia na hali duni ya maisha?kama umeamua kumpa mpe tu hata ile kitu napenda roho ya chemba ili uone sasa elimu yake ilivyo madhubuti kwenye hyo nyanja.
 
Mbona bado unalala sebuleni kwa mama yako ktk nyumba ya tembe ukifika Iramba? Uanaume ungeshajenga yako ya tembe pembeni.afu mjengee maza ako choo sio unajipa raha Dar.
 
Kiongozi wangu mhe. Mwigulu kwa sasa ni mti wenye matunda, kila mpinzani ana upiga mawe, na hii ndio inanipa faraja na furaha kuwa sijakosea kumpa kura yangu mhe. Mwigulu!!!

Mhe. Mwigulu ukilinganisha na wabunge wengi, yeye ni miongoni mwa wabunge wachache waliojitoa kuhudumia wananchi (Iramba magharibi), kwani alikubari kuacha kazi yake kama mwandamizi wa benki kuu ya Tanzania ambayo ilikuwa na maslahi makubwa tu, lakini kwa utashi wake aliweka maslahi ya wana Iramba mbele kwa kuwa mbunge wetu, ila wabunge wengine wanautaka ubunge ili wapate tonge.

Kubwa linalo nifanya nibaki na msimamo wangu wa kumpa kura mhe. Mwigulu ni usikivu wake, umakini wa kufuatilia matakwa ya wananchi na upeo wake mkubwa katika kubuni mbinu za kusaidia changamoto mbalimbali za wananchi, kama vile upatikanaji wa maji kwa ukaribu, ujenzi wa shule na vituo vya afya.

Ni imani yangu haya yote mazuri ya mhe Mwigulu yanatokana na elimu yake, kwani kuna kauli isemwayo ndani ya CCM kuwa "ELIMIKA HILI UHUDUMIE TAIFA", na mhe Mwigulu amethibitisha hili. Jionee mwenyewe elimu ya mbunge wangu;

EDUCATION

1. University of Dar Es Salaam Degree (Economics) 2001 - 2004 GRADUATE

2. The East African Uongozi Institute Management 2002 - 2003 CERTIFICATE

3. University of Dar Es Salaam Masters(Economics) 2004 - 2006 MASTERS DEGREE

Je, na wewe mbunge wako ana kuhudumia utakavyo? ukiona ana mapungufu basi sio kingine, mchunguze elimu yake.
Sasa hizi ndio tabia za kiliberali za kujikomba kama muhudumu wa bar za gongo
 
Lazima jamaa bcoz mnamjadili sana humu jf. Inshort jamaa mnamnadi kichizi na watu wanaofikiri wanapata picha kwamba mwigulu ni mwiba kwa upinzani. Kama sio mwiba acheni kumjadli.
 
Mlitaka wenyewe fomeshen hy sasa chezeni tuu na mwigulu mtapigwa goli kilamashindano . Bungeni mmemshindwa, jukwaani anapasua, kwenye vyuo anatoa pasi kama kawaida n.k jiandaeni kumpa kombe tuu.
 
mwigulu anastahili pongezi halafu anafiti kotekote kwa maana ya kwenye chama na bungeni na kwa wananchi wake.
 
Mwigulu ni jembe ngoja awafundishe adabu hao

Inatia raha sanaaaaaaaaa
umepost thread weee, una comment weee na unajisifia weee.... mpaka raha ( sawa na mkeo kukuibia pesa kwenye mfuko wa suluhari yako na baadaye kukupikia chakula kwa hela hiyohiyo)
 
Back
Top Bottom