WILSON MWIJAGE
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 276
- 76
Ndugu,
Huu waweza kuwa ni mwisho wa CCM?
1. Baadhi ya wanachama wake wanakikimbia chama.
2. Baadhi ya wanachama wanaobaki hawaaminiani / hawaelewani.
3. Rais anateua wabunge kwenye tume ya katiba kinyume na sheria.
4. Rais anateua wabunge (wateule), anawatangaza kuwa mawaziri na kuwaapisha pasipo kuwa wabunge.
5. Rais anamteua waziri wa Zanzibar kuongoza wizara isiyokuwa ya Muungano (Wizara ya Afya - Dk. Mwinyi)
6. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM kutoa tamko kuhusiana na mabadiliko ya baraza la mawaziri
Huu waweza kuwa ni mwisho wa CCM?
1. Baadhi ya wanachama wake wanakikimbia chama.
2. Baadhi ya wanachama wanaobaki hawaaminiani / hawaelewani.
3. Rais anateua wabunge kwenye tume ya katiba kinyume na sheria.
4. Rais anateua wabunge (wateule), anawatangaza kuwa mawaziri na kuwaapisha pasipo kuwa wabunge.
5. Rais anamteua waziri wa Zanzibar kuongoza wizara isiyokuwa ya Muungano (Wizara ya Afya - Dk. Mwinyi)
6. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM kutoa tamko kuhusiana na mabadiliko ya baraza la mawaziri