Siku za Mwisho Miti yote huteleza

WILSON MWIJAGE

JF-Expert Member
May 30, 2011
276
76
Ndugu,

Huu waweza kuwa ni mwisho wa CCM?
1. Baadhi ya wanachama wake wanakikimbia chama.
2. Baadhi ya wanachama wanaobaki hawaaminiani / hawaelewani.
3. Rais anateua wabunge kwenye tume ya katiba kinyume na sheria.
4. Rais anateua wabunge (wateule), anawatangaza kuwa mawaziri na kuwaapisha pasipo kuwa wabunge.
5. Rais anamteua waziri wa Zanzibar kuongoza wizara isiyokuwa ya Muungano (Wizara ya Afya - Dk. Mwinyi)
6. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM kutoa tamko kuhusiana na mabadiliko ya baraza la mawaziri
 
Ndugu,

Huu waweza kuwa ni mwisho wa CCM?
1. Baadhi ya wanachama wake wanakikimbia chama.
2. Baadhi ya wanachama wanaobaki hawaaminiani / hawaelewani.
3. Rais anateua wabunge kwenye tume ya katiba kinyume na sheria.
4. Rais anateua wabunge (wateule), anawatangaza kuwa mawaziri na kuwaapisha pasipo kuwa wabunge.
5. Rais anamteua waziri wa Zanzibar kuongoza wizara isiyokuwa ya Muungano (Wizara ya Afya - Dk. Mwinyi)
6. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM kutoa tamko kuhusiana na mabadiliko ya baraza la mawaziri

Hapo kwenye blue pana kera sana
 
kIDUMU cHAMA cHA mAPINDUZI! kIDUMU! nA KITAENDELEA KUDUMU IWE KWA HAKI AMA KWA DHAMBI! kIDUMU
hawa jamaa wamepanga kutuingiza kwenye machafuko kuanzia 2015.
 
Ifike wakati watanganyika tudai haki zetu. Mbona hatuna waziri kutoka mainland kwenye serikali yao? Muungano gani huu? May its an affiliation. . .
 
Ndugu,

Huu waweza kuwa ni mwisho wa CCM?
1. Baadhi ya wanachama wake wanakikimbia chama.
2. Baadhi ya wanachama wanaobaki hawaaminiani / hawaelewani.
3. Rais anateua wabunge kwenye tume ya katiba kinyume na sheria.
4. Rais anateua wabunge (wateule), anawatangaza kuwa mawaziri na kuwaapisha pasipo kuwa wabunge.
5. Rais anamteua waziri wa Zanzibar kuongoza wizara isiyokuwa ya Muungano (Wizara ya Afya - Dk. Mwinyi)
6. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM kutoa tamko kuhusiana na mabadiliko ya baraza la mawaziri

Hap kwenye red. Imewakera hata wanaccm wenyewe, hasa wale waliotegemea wangeongoza hiyo wizara. Ni jambo la kushangaza Tanganyika yenye watu milioni 43 imkose mtu wa kuongoza wizara hadi tukodi Zanzibar yenye watu takriban 1 milioni.

Kwenye Kijani, kauli ya Nape imesababisha wanaccm wahame kijiji kwa kijiji pamoja na ofisi yao kwenda CHADEMA. Nape ni Kiongozi wa chama, inakuwaje anatoa tamko la mabadiliko ya baraza la mawaziri?
 
Hap kwenye red. Imewakera hata wanaccm wenyewe, hasa wale waliotegemea wangeongoza hiyo wizara. Ni jambo la kushangaza Tanganyika yenye watu milioni 43 imkose mtu wa kuongoza wizara hadi tukodi Zanzibar yenye watu takriban 1 milioni.

Kwenye Kijani, kauli ya Nape imesababisha wanaccm wahame kijiji kwa kijiji pamoja na ofisi yao kwenda CHADEMA. Nape ni Kiongozi wa chama, inakuwaje anatoa tamko la mabadiliko ya baraza la mawaziri?

Ndugu yangu acha ushabiki,
Tanganyika haiwezi kuwa na watu 43m ambao wanaweza kuwa mawaziri.
Kumbuka idadi hiyo ni pamoja na watoto, wanafunzi, vichaa na wendawazimu.
 
Mwisho wa CCM ndiyo mwanzo wa CDM. Acha wakanyagane kwa KASI, ARI & NGUVU yao mpya kuelekea KUSAMBARATIKA. Tumethubutu, Tumeweza na Tunazidi kusonga mbele, ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA JK
 
Hata waliomjaribu Mungu kwa kujenga mnara wa babeli walijikuta hawaelewani lugha,bado tutashuhudia mauzauza mengi....
 
Ndugu yangu acha ushabiki,
Tanganyika haiwezi kuwa na watu 43m ambao wanaweza kuwa mawaziri.
Kumbuka idadi hiyo ni pamoja na watoto, wanafunzi, vichaa na wendawazimu.

Ahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Wewe umenilazimisha kucheka kwa kuona jinsi binadamu anavyoweza kutapika thru kuandika *****!!
Kwani wapi umeona pameandikwa kwamba watanzania mil.43 wote wanafaa kuwa mawaziri??????????????????????????????

Gamba limekufunika vibaya mno, kimbia haraka uingie kwenye timu ya ukombozi kabla mlango haujafungwa!!
 
In short JK ana kera sana, kuna mambo anafanya mpaka mtu unakaa unajiuliza hivi huyu ni rais au ni nani... Anyway, ndio imeshakula kwetu, ingekua nchi zingine sasa hive angekua RIH, otherwize tusubili 2015..
 
Hata waliomjaribu Mungu kwa kujenga mnara wa babeli walijikuta hawaelewani lugha,bado tutashuhudia mauzauza mengi....

Waliomwaribia sana ni wale waliomtangaza hadharani kwamba ni chaguo la Mungu!!!
Naona sasa Mungu ameamua kujipambanua kwamba hawi shirika na dhuluma na hujuma na ubadhirifu na manyanyaso kwa umma wake.

Tazama sasa Mola wa haki anautia umma wake Roho ya ujasiri na nguvu huku Farao akizidi kushupaza shingo na moyo wake kuwa mgumu asijue kuwa anguko lake kuu limekaribia kwa haraka sana, na tazama bila hata kujua Mola amemuacha akawateua mawaziri amabao wako upande wa umma na ma-M4C yenye nguvu ya kutisha. Na tazama Jeshi na Polisi wamenyongonyea mioyoni mwao huku wakiwa njia panda wasijue pakwenda, mara ghafla, tazama Mola anawainua mioyo yao kama mtu yule aliyezinduka kutoka kwenye ndoto ya kutisha na mara wote wanakimbilia kwa M4C huku wakishangilia kama kiwete aliyepona ghafla, People! People! People! People! People! Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! power! Power! power! Power! Power! poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer!

Mara kila mtanzania hataki ajulikane kama amewahi kuwa au kuiunga mkono CCM, wote wanaimba Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer! Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer! Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer!

Mara ooh wengine hao nje wanapanda ndege za kukodi na kuvuka mipaka wasionekane kamwe!!!!!
 
Waliomwaribia sana ni wale waliomtangaza hadharani kwamba ni chaguo la Mungu!!!
Naona sasa Mungu ameamua kujipambanua kwamba hawi shirika na dhuluma na hujuma na ubadhirifu na manyanyaso kwa umma wake.

Tazama sasa Mola wa haki anautia umma wake Roho ya ujasiri na nguvu huku Farao akizidi kushupaza shingo na moyo wake kuwa mgumu asijue kuwa anguko lake kuu limekaribia kwa haraka sana, na tazama bila hata kujua Mola amemuacha akawateua mawaziri amabao wako upande wa umma na ma-M4C yenye nguvu ya kutisha. Na tazama Jeshi na Polisi wamenyongonyea mioyoni mwao huku wakiwa njia panda wasijue pakwenda, mara ghafla, tazama Mola anawainua mioyo yao kama mtu yule aliyezinduka kutoka kwenye ndoto ya kutisha na mara wote wanakimbilia kwa M4C huku wakishangilia kama kiwete aliyepona ghafla, People! People! People! People! People! Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! power! Power! power! Power! Power! poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer!

Mara kila mtanzania hataki ajulikane kama amewahi kuwa au kuiunga mkono CCM, wote wanaimba Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer! Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer! Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer!

Mara ooh wengine hao nje wanapanda ndege za kukodi na kuvuka mipaka wasionekane kamwe!!!!!

hii kama drama tungeitengenezea movie ingevutia sana.!
 
Back
Top Bottom