Siku za muungano zinahesabika, Tanzania bara itaitwaje ukivunjika?

Kuvunja muungano itawanufaisha zaidi wana siasa kuliko wananchi wakawaida. Nitashangaa kama tutajiita Tanganyika jina la kikoloni na kuacha jina la Tanzania ambalo liliasisiwa na Baba wa Taifa.
 
Kuvunja muungano itawanufaisha zaidi wana siasa kuliko wananchi wakawaida. Nitashangaa kama tutajiita Tanganyika jina la kikoloni na kuacha jina la Tanzania ambalo liliasisiwa na Baba wa Taifa.

Vingapi kavileta nyerere watanganyika mmeviacha?wewe umeona muungano tu?
 
>Ninaamini hata jina la Zanzibar litakufa kwani kutakuwa na ''JAMUHURI YA MUUNGANO WA PEMBA NA UNGUJA'' Tena wakiwa na muungano wa mkataba.



{UCHU WA KUUPATA URAIS UNAVUNJA MUUNGANO}
 
Haya ni mapendekezo kutokana na kuwa jina ni zuri na limekuwa na sifa duniani.

Haijawahi kutokea hata siku moja jina lako kuwa baya ! Ndiyo maana wewe umejiita Mbogo , ambalo kwetu ni jina la mnyama ' NYATI' ! Tunahitaji Tanganyika yetu bila hata maelezo yoyote .
 
Musijali watanganyika wenzangu tusiwe watumwa kwa kukataa jina letu tanganyika.nakubaliana na sera ya chadema kuirejesha tanganyika.duh!mimi nilizani watanganyika tunapenda muungano kwasababu una manufaa nac kumbe tunautaka kwa sababu ya jina.shem upon us.
 
Hii dhambi ya kuvunja Muungano haitaiacha Zanzibar salama, Wapemba watataka Taifa lao na Unguja nao vivyo hivyo.

Cha msingi ni kushughulikia kero za Muungano na sio kuvunja Muungano! Wanasiasa wanapotosha sana kuhusu swala la Muungano....wafanyabiashara wakazi wa Zanzibar wamekua wakilalamikia sana swala la kutaka uwepo wa uwanja sawa katika kodi na mambo chungu nzima.

Na hili bomu ni muda limekuwepo bila kutafutiwa ufumbuzi wa kulimaliza, matokeo yake sasa wanahisi ni hila za makusudi kuwakomoa Wanzibari kupitia JMT/SMT
 
Haya ni mapendekezo kutokana na kuwa jina ni zuri na limekuwa na sifa duniani.

Ndio maana mnashidwa kuwasikiliza na kuyatekeleza matakwa ya waZanzibari kuhofia kupoteza jina hilo, kwani Tanganyik lina nini?, mi sijaona eti Muunago wa NCHI mbili lakin inayooneka ni 1.
 
Federal Government of Tanzania (Tan=Tanganyika zania=Azania)
 
Nadhani serikali Tatu itafaa sana.
Ila ya Muungano gharama ni 50% each. Hatuangalii idadi wala nini!
 
Haya ni mapendekezo kutokana na kuwa jina ni zuri na limekuwa na sifa duniani.
Utatumia lile lile Tanga la wanyika , TANZANIA, wazanzibari tunachkua mbao zetu, ZANIA na nyie mutabakiwa na TAN, sasa sijui utatumia lipi, utakuja zanzibar uwombe ukimbizi au utwakuwa mtanganyika au Tan
 
Hii dhambi ya kuvunja Muungano haitaiacha Zanzibar salama, Wapemba watataka Taifa lao na Unguja nao vivyo hivyo.

Cha msingi ni kushughulikia kero za Muungano na sio kuvunja Muungano! Wanasiasa wanapotosha sana kuhusu swala la Muungano....wafanyabiashara wakazi wa Zanzibar wamekua wakilalamikia sana swala la kutaka uwepo wa uwanja sawa katika kodi na mambo chungu nzima.

Na hili bomu ni muda limekuwepo bila kutafutiwa ufumbuzi wa kulimaliza, matokeo yake sasa wanahisi ni hila za makusudi kuwakomoa Wanzibari kupitia JMT/SMT

Muungano wenyewe ndio kero,makubaliano ya muungano hayajaonekana tokea yalipotiwa saini,umepata kuona wapi hayo?only in tanzania.
 
hakuna tanganyika nyie mkijitoa sie tunabaki na tanzania tu,kama. mnataka anzisheni vagi ,,,maana tabia zenu za ki-liberali ziishie huko huko
 
Utatumia lile lile Tanga la wanyika , TANZANIA, wazanzibari tunachkua mbao zetu, ZANIA na nyie mutabakiwa na TAN, sasa sijui utatumia lipi, utakuja zanzibar uwombe ukimbizi au utwakuwa mtanganyika au Tan

Hatuongei na wewe ....... haya maongezi ya kiume. Kuwa mkimbizi mtakuwa nyie msio na pa kwenda. Mmejazana Tanga na Buguruni na tutahakikisha mnarudi mkarundikane huko huko kwenu. Hao Waarabu wanaowashawishi tuone kama watawahamishia Qatar na Saudia mkawaoshee vyombo majumbani
 
Of course; kwanini tubadili jina? hata Zanzibar kuna Watanzania wengi zaidi kuliko Wazanzibari...

Mkuu
Serikali ya Tanganyika inayopendekezwa na Rasimu ya Katiba mpya itatawala nchi ipi?

Au utapinga uundwaji wa serikali ya Tanganyika?

Sisi asilimia 79 ya wadanganyika tunataka Tanganyika yetu na serikali ya Tanganyika.
Ninyi watanzania wa Tanzania mko asilimia ngapi?

Kule Zanzibar asilimia 60-66 wanataka mamlaka kamili.

Sisi wadanganyika asilimia 79 tunataka mamlaka kamili pia. Muungano wa kuzinguana unailea CCM tu. Muungano ni janga la Taifa.
 
Back
Top Bottom