Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
Haya ni mapendekezo kutokana na kuwa jina ni zuri na limekuwa na sifa duniani.
no way mkuu. we go back to TANGANYIKA A.K.A TGN.
Haya ni mapendekezo kutokana na kuwa jina ni zuri na limekuwa na sifa duniani.
Zanzibar - the Country of Liberals!
JAJI Warioba lete rasimu ya katiba mpya uwakumbushe misukule ya nyerere jina la nchi yao danganyika,ntwala,mrima tanzania bala washasahau masikini......sisi yetu twaijua
WAlivyo jisahau wakasema zanzibar si nchi from that point we understand that we made a mistake ...we united,we organised ourself, and send a clear messange, marekebisho ya katiba ya zanzibar 2010 ndio jibu kutoka jamii iliyopevuka kisiasa sio ya kutukanana,udini,ukanda watanganyika jifuzeni kutoka zanzibar mpya.
Si suluhisho la kudumu!Hakuna haja ya kubadilisha kwani wazanzibar wenyewe hawajiiti watanzania
Tutabaki na hilo jina lakini kuna watu wamezoea choko choko lazima wasema maana watakuwa hawana kingine, tofauti na hivyo watalazimika kukaa kimya kitu ambacho hawawezi, ila mimi nitapendekeza tuitwe KILIMANJARO tutajulikana na kukua kwa haraka
Nimezaliwa 89 ndani ya tanzania sijui tanganyika ni kitu gani lakin natka muungano ukivunjika kila mtu awe bandarini ndani ya masaa 24 kurudi kwao ndio mtajua thamani ya muungano nyie waliberali wallah hamtokaa kwa amani huku bara kama mtaweza kubeba hizi nyumba bebeni lakin huku bara sie tutaendelea kua tanzania coz we have always be tanzanians to hell wazanziliberali!
Kwani jina la Tanganyika lilishushwa na Mungu? Hata ninyi mwaweza kubadili jina la Zanzanibar na kujiita Makunduchi, Kibanda-maiti au Mchamba-wima.
ila mimi nitapendekeza tuitwe KILIMANJARO tutajulikana na kukua kwa haraka
huna akili wewe kila kitu unaleta udini mbwa wewe..GOD IZ NOT A RELIGION BUT A SPIRITUAL BOND....sio kila kitu lazima upinge tu msheenzi sana ww