Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Je Lema kuchakachuliwa kama alivyowafanyiwa Mrema, Magufuli na sasa Lema?
Katika uvunjifu wa sheria ulio tokea tarehe 18-12-2010 na kupelekea kipigo kwa Mbunge wa Arusha mjini na baadae mauji ya watu watu na wengi kujeruhiwa yaliyofanywa na Polisi tarehe 05/03/2011 kuna kauli aliyoitoa Godbless Lema akiwa amelazwa Mount Meru Hospital na hapa namnukuu:
"Nasikia kuishiwa nguvu sijui polisi wamenifanya nini, Naishiwa nguvu tu, sijisikii kumwa ila miguu inawasha"
Na kauli aliyowahi kuitoa Andengenye kuwa siku za Godbless Lema zinahesabika, je nini kumtokea Lema....?
Angalia na sikiliza dakika ya 5:18 mpaka dakika 5:32
Naomba kutoa hoja
===========
Katika uvunjifu wa sheria ulio tokea tarehe 18-12-2010 na kupelekea kipigo kwa Mbunge wa Arusha mjini na baadae mauji ya watu watu na wengi kujeruhiwa yaliyofanywa na Polisi tarehe 05/03/2011 kuna kauli aliyoitoa Godbless Lema akiwa amelazwa Mount Meru Hospital na hapa namnukuu:
"Nasikia kuishiwa nguvu sijui polisi wamenifanya nini, Naishiwa nguvu tu, sijisikii kumwa ila miguu inawasha"
Na kauli aliyowahi kuitoa Andengenye kuwa siku za Godbless Lema zinahesabika, je nini kumtokea Lema....?
Angalia na sikiliza dakika ya 5:18 mpaka dakika 5:32
Naomba kutoa hoja
===========
Jioni hii baada ya mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika nmc arusha kuwakumbuka walioawa na polisi JAnuary 5 mwaka Jana. Baada ya hapo tulipita katika hotel ya kibo kupumzika baada ya Lena kulalamika ya kuwa anahisikia vibaya na temperature ikaanza kupanda. Tumempeleka mt. Meri hospital wakatuambie tumpeleke selian kwa urgent service maana mahabara ilikuwa imefingwa. Tupo selian hospital ametundikiwa RL drip na sindano mbili.Temp ipo 40, anakunywa drip ya pili saa hii. Tumuombee uzima mbunge wetuView attachment 44798IMG_1054.JPG
Last edited by a moderator: