Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
nashangaa watanzania tulivyowapole. ni siku ya tano jiji la dar halina maji, na wananchi wake kimya. ukipita muhimbili harufu inayosikika ni mbaya sana. sijui ni lini magonjwa ya mlipuko yataanza. hivi wananchi wenzangu ni wajinga zaidi ya serikali au serikali ndio wajinga zaidi ya wananchi. siendi kazini leo siku mbili sijaoga...nawasilisha