Usijal mama nakupa hii yako subiri kidooooogoooo
Siku hazifanani mama siku nyingine si nakukuna? nivumilie leo, poleeee
Vipi tena mbona unaguna my king'asti
Mmh!! Hapana nilikuwa nauwaza huo mkuno loh!
Mbona kimnya
DAUDI 1 leta uamuzi wa Julie....duh! patamu hapo.
Jamani mbona nasubiria kwa hamu,
Yuko wapi Daudi 1 jamani
Jaman daudi mbona unatufanyia hivyo ,
No shida