Kuna mzigo nimekuwekea ufungue mwenyeweeeeeeee
Eti eeeee!!!!!! bsi tusinyimane yakheeee
Mshezi wa tabia hapa ni nani kati ya mama na Juliana?
Nan ana haki ya kupata penz la bitungu kati ya hao wawili?
Asante sana aaah! kumbe umempa Baba Julie, nimekuwekea mzigo wako hapo pemben
Ina maana mwanamke akili zake ni za kushikiwa? yeye mwanamke ametimiza wajibu wake wa kuwa mke? ninavyojua mke ni mshauri wa mume akishindwa mume na mke ameshindwa hapo hakuna mshindi hapo haki iko kwa julie tuNdiyo nampa pole kwa kushindwa kujua wajibu wake kama kichwa cha familia, na matokeo ndiyo hayo nani alaumiwe mke au mtoto laa....
Haujaiona mama
Kuumbe! pole
Siku hazifanani mama siku nyingine si nakukuna? nivumilie leo, poleeee