Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
hujui siasa za nchi yetu.... haziko rational and taking anything rational out of irrational society ni sawa na kutafuta vimini JeddahNimekuwa mtu ninayepinga ukuaji wa umaarufu na kukubalka kwa chadema kutokana na udhaifu wa chama tawala.
Nimekuwa nikijaribu kuishawishi chadema kuwashawishi vijana hata kama chama tawala kitatekeleza matakwa na matarajio ya watanzania kupitia uenezi wa sera na mwelekeo.
Ninawaza siku Vijana wa kitanzania watakapowageuka chadema na viongozi wake.