CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,253
- 12,870
[h=6]Natumaini hamjambo wote wana chit chat! Hebu leo ondoka na huu ujumbe " Huwezi kupenda na kila mtu sabababu wewe sio PESA, na pia huwezi kuchukiwa na kila mtu kwa sababu wewe sio KIFO. Ishi upendavyo, usiishi wapendavyo! Siku njema woooooooteeeeee!!!!!!!! [/h]