mapanga3
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 665
- 633
Hayo yanayomkuta Mwigulu muda si muda yatamfikia na mtoto pendwa wa mkulu maana anajifanya haambiliki anajua kila kitu kama nchi hii ya ukoo wake , amesahau kila kitabu na zama zake.
Sipati picha zama hizi zikipita atakuwa wapi na hali gani! muda ni mwalimu mzuri sana huo haukosei
Sipati picha zama hizi zikipita atakuwa wapi na hali gani! muda ni mwalimu mzuri sana huo haukosei