Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinafanya mkutano wake mjini Dodoma, bila kuwapo kwa mkutano wa NEC ambao ndiyo wenye mamlaka ya kutekeleza ajenda ya kuwafukuza mafiasadi ndani ya chama.
Je, hadi hapo nani anaweza kubisha kuwa CCM haina uwezo wa kushughulikia mafaisadi? Nape awekwa uchi siku 90 zimekwisha. Naomba kuwasilisha.
Je, hadi hapo nani anaweza kubisha kuwa CCM haina uwezo wa kushughulikia mafaisadi? Nape awekwa uchi siku 90 zimekwisha. Naomba kuwasilisha.