STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Ina semekana kuwa Lowasa, Rostam na Chenge wana asilimia 60 ya mawaziri, asilimia 70 ya wabunge wa CCM, asilimia 50 ya wakuu wa mikoa, 50 ya makatibu waku, 60 ya majaji, asilimia kubwa ya watu wakubwa kule uwt, na vyombo nyeti.
Na hali inavyooneka ni kwamba tukose wote na si wao tu. hii kwa tafsiri rahisi ni kwamba huu ni mwisho wa CCM na ni kutokana na weakness ya JK, maana JK kawadanganya wananchi akidhani mafisadi watamsaidia sasa gafla hana wananchi na mafisadi wameanza kumwandama. Uwongo wa kwanza wa JK ni pale aliposema hajui wamiliki wa Dowans kumbe ya RA na wananchi wanajua ni ya RA.
Hii inaashiria mwisho wa CCM na kutokana na JK kupuuza wananchi huku akineemesha mafisadi
Na hali inavyooneka ni kwamba tukose wote na si wao tu. hii kwa tafsiri rahisi ni kwamba huu ni mwisho wa CCM na ni kutokana na weakness ya JK, maana JK kawadanganya wananchi akidhani mafisadi watamsaidia sasa gafla hana wananchi na mafisadi wameanza kumwandama. Uwongo wa kwanza wa JK ni pale aliposema hajui wamiliki wa Dowans kumbe ya RA na wananchi wanajua ni ya RA.
Hii inaashiria mwisho wa CCM na kutokana na JK kupuuza wananchi huku akineemesha mafisadi