sikieni story ya rafiki yangu huyu..

Namtakia kila la heri...Kila jambo lina wakati wake na MUNGU hufanya kwa makusudi kabisa ili yeye atukuzwe Milele..Wala hahitaji faraja kwa sasa kwani huzuni na mateso vilishaisha...Ana bahati kwani amepata hata fursa ya kusoma PHD wapo ambao wanatamani lakini hawataweza kufikia malengo hayo kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao.

nakubaliana na wewe kuwa kwa sasa anahitaji kumtukuza Mungu zaidi kuliko kufarijiwa, machungu yameishapita, alipitishwa kwenye maji, lakini Mungu akamkinga asigharikishwe..............mwacheni Mungu aitwe Mungu.....................
 
Akitaka kupata moyo zaidi apende kusikiliza story za wenzake atona hio story/maisha yake ni afadhali maradufu. God makes a way where seems to be no way.
 
I have been here before.. de javu!

Mungu amuinue
Amsimamishe juu ya miamba
Amkinge na maadui wajao kama rafiki
Amponye na mkono wa mtesaji
Ampe furaha alalapo na aamkapo
Amwagie baraka zake kwa mujibu wa Kumb. 29
Na amletee karibu yake marafiki wa kike na wakiume
Ambao ni ndugu kuliko wale wa damu
Ambao hawatamuacha upweke; katika giza na katika nuru
Katika mvua na kati hari
Katika majanga na katika ya neema
Katika huzuni na katika furaha
Katika yote yaliyo mema.
Siku hii ambayo nilikuwepo leo.. ninamuinua kwake yeye Baba wa Mianga ambaye kwa jina lake "ubaba wote mbinguni na duniani" unaitwa!

amina mzee mwanakijiji. ubarikiwe sana..............
 
Mungu yu pamoja nasi kila wakati, kila sehemu na huona shida zetu, husikikiliza mahitaji yetu, Na hakuna linaloshindikana kwake. Ila tunachotakiwa kutokata tamaa hata siku moja. Hatuna budi kumshukuru, kumsifu na kumtukuza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom