c kweli u cant be in love with 2 guys at the same time, naamini yupo umpendaye kwa dhati between those 2, mwingine utakuwa unaangalia features alizo nazo like physical appearance,income,position in society or his job and the like, then wafall in love na hizo features, but real love utakuwa wampenda m1 kati ya hao wawili nawe walifahamu hili fika, ila kinachokutatiza ni picha ya feature uipigayo na hao 2 lovers u have.uamuzi ni wako kuchoose better future 4 ur kids or kuchoose true love of ur life, and trust me usimake mistake ya kufall for material things utajajuta for the rest of ur life.future yatafutwa nanyi nyote, that is what i belive my self.so akili kichwani mwako kwani we ndo muolewaji na challenges za ndoa utazipata wewe sisi wengine ni third parties tu.
Mimi nina wachumba wawili na wote wananipenda na mimi nahisi nawapenda wote,nishaulini wana jf,nifunge pingu za maisha na yupi kati ya hawa wawili?
Mimi nina wachumba wawili na wote wananipenda na mimi nahisi nawapenda wote,nishaulini wana jf,nifunge pingu za maisha na yupi kati ya hawa wawili?
heheheh, khabari yake google bana! Afu jf unajua nako ni kagugo flani eeh? Sijui nilale ama nikeshe?
Mimi nina wachumba wawili na wote wananipenda na mimi nahisi nawapenda wote,nishaulini wana jf,nifunge pingu za maisha na yupi kati ya hawa wawili?
what is adulhood and usefull?is it a clime for one to ask for an advice??????
Unawezaje kuchumbiwa na mwanaume zaidi ya mmoja?ivi wewe ukitokea umechumbiwa na wanaume wawili au watatu tukuite malaya pia hii sio wote wanaochumbiwa na mwanaume zaidi ya mmoja ni malaya jamani