Mimi nina wachumba wawili na wote wananipenda na mimi nahisi nawapenda wote,nishaulini wana jf,nifunge pingu za maisha na yupi kati ya hawa wawili?
Waulize kama watakubali mitala reverse, uwaoe wawili wote, maana si unawapenda wote sawasawa?
Kama inawezekana kwa mwanamme kuoa wake wawili kwa nini isiwezekane kwa mwanamke kuoa wanaume wawili?
Huu kama si umalaya tukuite jina lipi zuri zaidi? wacha kucheza na feelings za binadamu mwenzako.
Unajua kuna wakati huwa napata shida sana kutoa ushauri, huwa nahisi kama kuna baadhi ya waleta thread wanafanya masikhara hivi
Hahahaaaaa! Nakushauri uolewe na MWENYE FUBA ZA KUTOSHA!!! LOL! Manake inaonesha wewe ni kama mimi, POCHI MBELE, ndo maana umediversify PORTIFOLIO yako! LOL! Sasa ili udumu kwenye ndoa lazima FUBA liumike sana, na utaendelea na mambo ya MAFIGA MATATU na VIDUMU huko ndo utapata furaha. By any chance kama huyo mmoja utakaemuacha ana FUBA la kutocha, niunganishe nae manake NARECRUIT MIZOMBIII, upyaaa uchumi umeyumba!!! LOL!!!
(DNT JUDGE ME!!! UJASIRIAMALI UMENISHINDA SASA NAJASIRIAMWILI MWANZO MWISHO! lol!) Nani Kanuna?
Zama gugo.....keywords: 'niolewa na yupi'
Huyu ni mwanamke mkuu...mi naona kama vipi aolewe na wote, si kachumbiwa kotekote!