Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 955
Let me get this straight...Kama ana ujauzito wako na wewe hukujua ina maana ulilala na huyo mwanamke within 9moths ago...probably less tuchukulie average ni 5months ago. Ulianza uhusiano na mkeo mtarajiwa baada ya kuachana na huyo mwanamke...so mkuu ndani ya 5months ulishamwona, ukampenda, ukamtongoza, ukakuza uhusiano, ukaengage, mkatambulishana nyumbani pande mbili, ukalipa mahari, ukaandikisha ndoa na sasa mipango ya harusi yenyewe? Mbona ndoa za siku hizi zina kazi!
Kama si hivyo basi ulicheat...
mhhh patamu hapo