Sijui nifanyeje kwa huyu mwanamke, simuelewii

Ip man 3

JF-Expert Member
May 29, 2016
677
555
Kwanza kabisa salamu kwenu nyote.
Poleni na mihangaiko na kaz pia.Binafs ni kijana wa kiume mwnye umri wa miaka 28.Pia nimeajiriwa katika kampun xx hapa mbeya mjin na namshukuru mungu nina mtoto mmja wa kiume mwnye umri wa miaka 6.
Dhumuni la kuja hapa ni kuomba ushaur sababu nimekuwa ni mfatiliaji mzur tu wa humu JF.Ishu ipo hivi mama wa mtoto huwa simuelewi.
1:- Kipindi sina kaz alinikana kabisa na kusem kuwa huyu si mtoto wangu.Ila mahitaji nilitum kama kawaid kwa kujinyima hivyohivyo na alipokea sababu nilikuwa na namba yake ya simu.Lakin nilipo pata kazi alinifata na kuomb sana msamah kwa kigezo kuwa tumlee mtot nilikubar nikaend kwao kujitambulisha nikapigwa faini ya mtot ilikuwa shiling 350,000/=.
2:- Ishu inakuj kuwa sasa mtt inatakiwa aend shule darasa la kwanz tatz linakuja mimi sitaki mtt asome shule za dar na bahati nzur mimi mzee wangu ni mwalim sasa ishu inakuja kuwa yeye hataki mtot akae kwa baba angu mimi na anataka mtt akae kwao kitu ambacho binafs sitaki.
Kwa ufupi toka nimerudian nae daah nishida tunapang vizur lkn siku mbil tatu shida mipango ndy mtu wa kwanz kuharibu yaan nashindwa kumeelewa.
Asanten .
Ushaur wako muhimu
Nawasilisha
 
Tuambie vizuri, itakua kunakitu kibaya uliwahi kumfanyia huyo mzazi mwenzio hawezi kukukataa bila sababu na pesa yako aipokee!

Any way malezi ya single maza si mazuri, atapandikiza chuki kwa mtoto sana wewe fanya hima tu umchukue huyo mwanao
 
Mwanaume hutakiwi kuyumbishwa na mwanamke..Na inayoonekana huyo mwanamke hataki makubaliano anachotaka yeye ndo kiwe na hivyo hamtakuwa mnajenga.ushauri wangu komaa na maamuzi yako
 
Tuambie vizuri, itakua kunakitu kibaya uliwahi kumfanyia huyo mzazi mwenzio hawezi kukukataa bila sababu na pesa yako aipokee!

Any way malezi ya single maza si mazuri, atapandikiza chuki kwa mtoto sana wewe fanya hima tu umchukue huyo mwanao
Hicho kitu ndy anakifany sasa anapandikiz chuki kwa mtt.Hakun kibay nilichomfanyia mku shida inakuja akiitaji pesa mda mwingin nakuwa sin na hali ya sasa ilivy ngumu
 
1.Trust me..!

Huyo mtoto inawezekana ni kweli sio wa kwako.. ila kwa sababu zako binafsi uliamini moja kwa moja.. Jipe uhakika kwanza mambo mengine yaendelee..

2. Mambo ya mtoto akasomee wapi sijui akae wapi.. huo ni ushindani ambao mmejijengea nyie wenyewe.. chimbuko lake halijaanza leo..
Mkishindwa kuelewana ndani nyie wawili kila kitu mnabishana, wote ni majipu tu!
Mwanaume wala Mwanamke hakuna anaejua wajibu wake kwa nafasi yake..
 
Mwanaume hutakiwi kuyumbishwa na mwanamke..Na inayoonekana huyo mwanamke hataki makubaliano anachotaka yeye ndo kiwe na hivyo hamtakuwa mnajenga.ushauri wangu komaa na maamuzi yako
Shukran mkuu
 
1.Trust me..!

Huyo mtoto inawezekana ni kweli sio wa kwako.. ila kwa sababu zako binafsi uliamini moja kwa moja.. Jipe uhakika kwanza mambo mengine yaendelee..

2. Mambo ya mtoto akasomee wapi sijui akae wapi.. huo ni ushindani ambao mmejijengea nyie wenyewe.. chimbuko lake halijaanza leo..
Mkishindwa kuelewana ndani nyie wawili kila kitu mnabishana, wote ni majipu tu!
Mwanaume wala Mwanamke hakuna anaejua wajibu wake kwa nafasi yake..
Kk mtt niwangu cz hat nikikutumia pich yang na yake ni copy right yangu.
Ila hilo la pili nikweli cz toka nimepat kaz chochote akitak nampatia.na nimekuwa namsikiliza mno ila smtym nashidwa kumvumilia mkuu
 
Na kwasasa wapo hom ninapoishi mitaa ya ilomba now nipo job ananitumia msg kuwa kesho anaondok wakat ndy siku ambayo inatakiwa anze shule sababu baba angu mzazi ni mwalim mkuu
 
Kumrudia mwanamke aliyekukana awali kwa sababu fulani HIYO ni sawa na kuitazama movie ya TITANIC mara ya pili tena umejifungia chumbani alone na kujisemea moyoni hii leo haizami.
aaaaaaaaaaaaahhhhh,subiri upitie kipindi kigumu ndo utanipa jibu kama na leo inazama au la! pole best ndo dunia.KOMAA
 
Tatz kubwa lilipoanza ni yeye kumlazimisha asome bording kwanzia la kwanz mpk la saba.Na wakati hali ya sasa si nzuri saana ya kipesa.
 
mkuu nilichogungua kamgeuza uyo mtoto wako kama chambo cha yeye kupata pesa kwako. ukimchukua mana yake hutokuwa ukimtumia pesa za matumizi.
fanya hima mchukue mwanao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom