Ni boyfriend wangu ambaye nimedumu naye kwa muda mrefu,amenisaliti mara kibao na tunaachana akija kuniomba msamaha,Hata kama nina hasira kiasi gani najikuta nimemkumbatia na kumsamehe kbs.Sijui kwanini hali hii hunitokea
Ni boyfriend wangu ambaye nimedumu naye kwa muda mrefu,amenisaliti mara kibao na
tunaachana akija kuniomba msamaha,Hata kama nina hasira kiasi gani najikuta nimemkumbatia na kumsamehe kbs.Sijui kwanini hali hii hunitokea
hahahahaaaa....!!! inakutokea mara kwa mara? basi wampenda. miaNi boyfriend wangu ambaye nimedumu naye kwa muda mrefu,amenisaliti mara kibao na tunaachana akija kuniomba msamaha,Hata kama nina hasira kiasi gani najikuta nimemkumbatia na kumsamehe kbs.Sijui kwanini hali hii hunitokea
mkuu naomba unipm id yako ya zamani sababu sekeseke langu na na huyu @x-girlfriend ulikua hujajiunga jf kwa hii id. mimi nataka nikugawie huyu dogo. miafigganigga figganiggamiamiamiamia
"Huduma" anayotoa siyo ya kawaida.Ni boyfriend wangu ambaye nimedumu naye kwa muda mrefu,amenisaliti mara kibao na tunaachana akija kuniomba msamaha,Hata kama nina hasira kiasi gani najikuta nimemkumbatia na kumsamehe kbs.Sijui kwanini hali hii hunitokea
Ni boyfriend wangu ambaye nimedumu naye kwa muda mrefu,amenisaliti mara kibao na tunaachana akija kuniomba msamaha,Hata kama nina hasira kiasi gani najikuta nimemkumbatia na kumsamehe kbs.Sijui kwanini hali hii hunitokea
mkuu naomba unipm id yako ya zamani sababu sekeseke langu na na huyu @x-girlfriend ulikua hujajiunga jf kwa hii id. mimi nataka nikugawie huyu dogo. mia
Huwezi kuelewa mapenzi unless you fall in lovehuo ni utegemezi wa kihisia
kwa sababu unampenda,hujiamini na upo weak kwake.na yeye anajua hilo,na huko ku cheat hatoacha kwa sababu anajua utamsamehe tu
naomba niongezeke kwenye idadi ya marafiki zako wazuri. mwenzio nimeokoka. mialabda uongezeke wewe idadi ya mabuzi yangu mi demu.mia