NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
Wakati fulani kabla ya uchaguzi wa Tanzania Sheikh Yahya Huussain kwa kutumia ujuzi alionao, alitabiri matukio fulani yaliohusu uchaguzi.
Kilichotokea ni kua watu wengi walilipokea swala hilo kwa hisia tofauti, lakin idadi kubwa ilikanusha na kubeza utabiri huo. Hili lilonyesha kua waTanzania wengi hawakuzoea kuambiwa wasichokipenda, kitu ambacho ni muhimu kua wakweli kama tunataka maendeleo.
Cha kushangaza zaid ni habari zilizotolewa na gazeti la Mwananchi leo kuhusu utabiri wamunajimu huyo. Inaonekana kua limewafurahisha watu wengi.
Kilichotokea ni kua watu wengi walilipokea swala hilo kwa hisia tofauti, lakin idadi kubwa ilikanusha na kubeza utabiri huo. Hili lilonyesha kua waTanzania wengi hawakuzoea kuambiwa wasichokipenda, kitu ambacho ni muhimu kua wakweli kama tunataka maendeleo.
Cha kushangaza zaid ni habari zilizotolewa na gazeti la Mwananchi leo kuhusu utabiri wamunajimu huyo. Inaonekana kua limewafurahisha watu wengi.