RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Wakili Mwambuksi amekamatwa majira ya saa nane usiku huko mikumi mkoani morogoro kilichonishangaza je wakili huo hadi anakamatwa majira hayo aliitwa na jeshi la polisi akakataa wito? Au wameona ni bora wamkamate kwa kumvizia lengo lao nini hadi wanafanya hivo .
Nitoe rai kwa jeshi la polisi pamoja na majukumu makubwa mliyonayo ya kulinda raia na mali zao ukamataji mliofanya kwa wakili huo hamkuwa na sababu za msingi kufanya hivo kwani wakili huyo hajakataa wito wa polisi na pia kumbukeni ana kesi na AG kwenye kamati ya maadili, wakili huyo alisgawaambia yeye hawezi kimbia nchi yake na hamwogopi yeyote kwenye haki anayoisimamia
Polisi acheni tabia yavkukamata watu wenye anwani kwa kuwavizia pindi watakapoanza kupotea mtajitia doa wenyewe na kuichafua serikali.
Nitoe rai kwa jeshi la polisi pamoja na majukumu makubwa mliyonayo ya kulinda raia na mali zao ukamataji mliofanya kwa wakili huo hamkuwa na sababu za msingi kufanya hivo kwani wakili huyo hajakataa wito wa polisi na pia kumbukeni ana kesi na AG kwenye kamati ya maadili, wakili huyo alisgawaambia yeye hawezi kimbia nchi yake na hamwogopi yeyote kwenye haki anayoisimamia
Polisi acheni tabia yavkukamata watu wenye anwani kwa kuwavizia pindi watakapoanza kupotea mtajitia doa wenyewe na kuichafua serikali.