Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Jana asubuhi sikwenda kazini, nikafika kwenye ofisi za afisa mtendaji wa kata kutoa taarifa kwamba Mimi na Familia yangu hatujahesabiwa, nikawaelekeza ninapoishi na wakaniambia kabla jua halijazama ntakuwa nimeishahesabiwa, mpaka sasa napoweka taarifa hii hapa bado sijahesabiwa. wana JF wangapi hawajahesabiwa mpaka sasa.
What political implication does this inefficiency portray?
What political implication does this inefficiency portray?