sihitaji kuolewa je ni tatizo?

Status
Not open for further replies.

Latifaa

JF-Expert Member
Jan 18, 2012
501
257
nimetimiza miaka 30 sasa, huko nyuma nilitamani sana kuolewa nanilikuwa namlilia mungu sana anijalie nipate mume bora hiyo ndio ilikua
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa wala kuchumbiwa na mwanaume yeyote nimeishia kurubuniwa na kutapekliwa, nilitamani sana niwe na mume wangjt nimthani na kumjali ila baha ti ni mbaya sijabahatika.
Any way 4 sasa nimekua mtu mzima nimepata akili nimepitia mengi na nimejifunza mengi nanimetafakas4ri kwa kina n.ifmegundua sio kila unalolipanga kwenye maisha yako lazima ulipate hata ukimwomba mungu mengine inabidi usacrifise, japo utavumilia masengenyo kutoka kwenye jamii na mitazamo hasi kwa ndugu hata wazazi.
Leo hii nimekua mtu mzima sitamani kuolewa tena wala sivutiwi na ndoa yoyote hata mwanaume wa kuishi em3.
Napenda kuwa na watoto wawili nakupambana na däisha bila kujali baba yao atakua nani..
Nayafurahia maisha yangu na maamuzi yangu kuliko zamani nilivyokua nahitaji kuolewa najiona nimeshakua
mama nanina familia isiyokua na baba ninafuraha sana naninamshukuru mungu kila kukicha.
Sipendi kuolewa na sivutiwi na kuolewa wala ndoa sihitag!
 
Mh!Sijui nikupe pole au vp,lakini ungejua kama wewe mwenyewe ndo msababishi wa yote yaliyotokea maishani mwako usingelaumu!
 
mhm haya dada yetu naona poa tuu kama hutaki kuolewa.
ila kama hutaki kuolewa basi ukubaliane na fact kuwa uamuzi huo unakuja na kukubali kukosa chance ya kuwa mama.
najua wengi wanasemq watalea wenyewe lakini hiyo ni selfishness. so usiolewe na pia usipate mtoto kuwa alone alone
 
Mpe MUNGU heshima anayostahili! Umendika neno 'mungu' mara nne; yawezekana maombi yako yote ulilenga kwa mungu (semi-god), ambaye hatakusaidia kamwe! Funguka, ni MUNGU siyo mungu!
 
Ni maamuzi mazuri kama utasimamia mtazamo huo. Shida tu ni kwa wale wanaotamani tena kuolewa bahada ya kujiapiza kama wewe na wakati umeshapita.

Mimi niliolewa na miaka 29 na sikuwahi kujiapiza kuwa sitakuja kuolwa na sikuwahi fikiri wala kusumbuliwa na mtu kuwa kwa nini siolewi kwani nilikuwa kwenye serious relationship for 4 years na ndiye mume wangu kwa sasa.

Sasa usijesema hutaki kuolewa kwa kuwa umekata tamaa; kwani maneno uumba. Miaka 30 ni umri muafaka wa kuolewa na wala hujachelewa kihivyo ila unafall kwa wrong men ungekuwa na wanaume husband material ungekuwa na mtazamo tofauti na huu.




nimetimiza miaka 30 sasa, huko nyuma nilitamani sana kuolewa nanilikuwa namlilia mungu sana anijalie nipate mume bora hiyo ndio ilikua
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa wala kuchumbiwa na mwanaume yeyote nimeishia kurubuniwa na kutapekliwa, nilitamani sana niwe na mume wangjt nimthani na kumjali ila baha ti ni mbaya sijabahatika.
Any way 4 sasa nimekua mtu mzima nimepata akili nimepitia mengi na nimejifunza mengi nanimetafakas4ri kwa kina n.ifmegundua sio kila unalolipanga kwenye maisha yako lazima ulipate hata ukimwomba mungu mengine inabidi usacrifise, japo utavumilia masengenyo kutoka kwenye jamii na mitazamo hasi kwa ndugu hata wazazi.
Leo hii nimekua mtu mzima sitamani kuolewa tena wala sivutiwi na ndoa yoyote hata mwanaume wa kuishi em3.
Napenda kuwa na watoto wawili nakupambana na däisha bila kujali baba yao atakua nani..
Nayafurahia maisha yangu na maamuzi yangu kuliko zamani nilivyokua nahitaji kuolewa najiona nimeshakua
mama nanina familia isiyokua na baba ninafuraha sana naninamshukuru mungu kila kukicha.
Sipendi kuolewa na sivutiwi na kuolewa wala ndoa sihitag!
 
Umesema umeshaamua halafu unauliza kama ni tatizo?!

Swali lako ni dalili kuwa hujiamini na hujui unachofanya. Nachoona hapa ni kuwa unaamini kuwa umri umekuacha na umekata tamaa sasa unataka maoni ambayo yatakufariji. Si jambo jema kujidanganya, kama kuolewa utaolewa hata ukiwa na miaka 50, cha msingi ni kuwa usikae ukaacha kufanya mambo mengine ukisubiri ndoa au kufanya uwindaji uwe ndio shughuli yako ya msingi.

Ningejua maisha yako angalau kwa kifupi ningeweza kubaini ni kwa nini uliishia kudanganywa na kwa vipi utaliepuka hilo.
 
Labda kama ana mpango wa kulea watoto yatima. Lakini kama ana mpango wa kuzaa na waume zetu that is more than selfishness. Kwanza anawapa watotowake label mbaya katika jamii pili anaharibu nyumba za watu ambao wana imani na ndoa.

mhm haya dada yetu naona poa tuu kama hutaki kuolewa.
ila kama hutaki kuolewa basi ukubaliane na fact kuwa uamuzi huo unakuja na kukubali kukosa chance ya kuwa mama.
najua wengi wanasemq watalea wenyewe lakini hiyo ni selfishness. so usiolewe na pia usipate mtoto kuwa alone alone
 
nimetimiza miaka 30 sasa, huko nyuma nilitamani sana kuolewa nanilikuwa namlilia mungu sana anijalie nipate mume bora hiyo ndio ilikua
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa wala kuchumbiwa na mwanaume yeyote nimeishia kurubuniwa na kutapekliwa, nilitamani sana niwe na mume wangjt nimthani na kumjali ila baha ti ni mbaya sijabahatika.
Any way 4 sasa nimekua mtu mzima nimepata akili nimepitia mengi na nimejifunza mengi nanimetafakas4ri kwa kina n.ifmegundua sio kila unalolipanga kwenye maisha yako lazima ulipate hata ukimwomba mungu mengine inabidi usacrifise, japo utavumilia masengenyo kutoka kwenye jamii na mitazamo hasi kwa ndugu hata wazazi.
Leo hii nimekua mtu mzima sitamani kuolewa tena wala sivutiwi na ndoa yoyote hata mwanaume wa kuishi em3.
Napenda kuwa na watoto wawili nakupambana na däisha bila kujali baba yao atakua nani..
Nayafurahia maisha yangu na maamuzi yangu kuliko zamani nilivyokua nahitaji kuolewa najiona nimeshakua
mama nanina familia isiyokua na baba ninafuraha sana naninamshukuru mungu kila kukicha.
Sipendi kuolewa na sivutiwi na kuolewa wala ndoa sihitag!
Yale mambo yetu unashiriki? If yes basi fikiri mara mbili kuhusu msimamo wako! Isije kufika mwaka 2014 ukamdondokea jibaba!
 
Umesema umeshaamua halafu unauliza kama ni tatizo?!

Swali lako ni dalili kuwa hujiamini na hujui unachofanya. Nachoona hapa ni kuwa unaamini kuwa umri umekuacha na umekata tamaa sasa unataka maoni ambayo yatakufariji. Si jambo jema kujidanganya, kama kuolewa utaolewa hata ukiwa na miaka 50, cha msingi ni kuwa usikae ukaacha kufanya mambo mengine ukisubiri ndoa au kufanya uwindaji uwe ndio shughuli yako ya msingi.

Ningejua maisha yako angalau kwa kifupi ningeweza kubaini ni kwa nini uliishia kudanganywa na kwa vipi utaliepuka hilo.
nimelelewa maisha ya dini na
nina mheshimu mungu nina maadili na heshima ila ninachokiamini sio lazima
kila unachoomba upate, dmndio maana maisha yametofautiana matajiri na
maskini sio kwamba maskini hawaombi nao pia wanaomba ila ndio hivyo, sio lazima kila bidada aolewe
 
Labda kama ana mpango wa kulea watoto yatima. Lakini kama ana mpango wa kuzaa na waume zetu that is more than selfishness. Kwanza anawapa watotowake label mbaya katika jamii pili anaharibu nyumba za watu ambao wana imani na ndoa.
kwahiyo kama sina ndoa na kizazi pia sina? Kuzaa dumuhimu
 
nimetimiza miaka 30 sasa, huko nyuma nilitamani sana kuolewa nanilikuwa namlilia mungu sana anijalie nipate mume bora hiyo ndio ilikua
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa wala kuchumbiwa na mwanaume yeyote nimeishia kurubuniwa na kutapekliwa, nilitamani sana niwe na mume wangjt nimthani na kumjali ila baha ti ni mbaya sijabahatika.
Any way 4 sasa nimekua mtu mzima nimepata akili nimepitia mengi na nimejifunza mengi nanimetafakas4ri kwa kina n.ifmegundua sio kila unalolipanga kwenye maisha yako lazima ulipate hata ukimwomba mungu mengine inabidi usacrifise, japo utavumilia masengenyo kutoka kwenye jamii na mitazamo hasi kwa ndugu hata wazazi.
Leo hii nimekua mtu mzima sitamani kuolewa tena wala sivutiwi na ndoa yoyote hata mwanaume wa kuishi em3.
Napenda kuwa na watoto wawili nakupambana na däisha bila kujali baba yao atakua nani..
Nayafurahia maisha yangu na maamuzi yangu kuliko zamani nilivyokua nahitaji kuolewa najiona nimeshakua
mama nanina familia isiyokua na baba ninafuraha sana naninamshukuru mungu kila kukicha.
Sipendi kuolewa na sivutiwi na kuolewa wala ndoa sihitag!

Unajuwa kwanini Mola aliweka ndowa? Ni kwasababu binaadamu awe tofauti na mnyama.
1.Hamu yake isiwe kama ya mnyama ya kuchupia alie karibu nae tu au kupanga foleni kutimiza hamu ya mwili
2. Kuwe na mpangilio mzuri wa kizazi chenye kuelewana na siyo kuzaa bila ya kujuwa damu ya nani.
3. Tuwe na vigezo vya kukubaliana kufanya uhusiano wa Kibinaadamu (kumbuka kuwa tumeppangiwa ndowa ili iwe njia ya kibinaadamu)
Mwisho, ni kuwa si lazima kuowa au kuolewa lakini ulazima wa kuheshimu mpango uliowekwa na mola. Hutaki kuolewa basi ipige maji ya moto tu wala huna makosa.
 
wanaume tumejaa tele ni ww tu labda hujui kutanua mabawa kama ndege tausi ili kutuvutia
jitahidi mama kuzaa na kulea bila baba sio kazi rahisi kama unavodhani
toa dhana yako potofu na omba sana pepo la kukataliwa likutoke
 
Inategemea kama unaamini kuwa kuna kitu kinaitwa dini.

Nasema hivyo kwa kuwa nilikuwa na class mates watano wanatokea Malaysia walikuwa wanasomeshwa masters an nchi yao. Wote ni mabosi huko kwao, ila walikuwa wote ni single. Walikuwa wanaonekana wadogo ila walikuwa na more than 30 mmoja alinambia ana 35. Walikuwa hawajaolewa. Katika kundi lao ambalo walikuwa kama 15 wanasomeshwa na serikali yao kulikuwa na wanaume; wote wameoa na walikuwa wamekuja na wake zao huko masomoni. Walikuwa rafiki zangu sana nilikuwa nawauliza sasa nyinyi hamjaolewa hamtaki watoto; wakanambia si kuwa hatupendi kuolewa ila kwetu ukiwa msomi na chance ya kuolewa inapungua. Ni kweli wale wanaume wa Ki Malaysia wake zao walikuwa hawajenda shule kihivyo; ni housewives.


Walichonifurahisha wale wadada ni kuwa walinambia NK wote tuna mpango wa kulea watoto yatima kwa sababu sheria ya Kiislamu hairuhusu kuzaa nje ya ndoa.

Ndio maana nikasema inategemea kama una dini na unaishika kweli.
Maana siku hizi naona hata Obama karuhusu ndoa za jinsia moja. Dunia inaelekea kusiko.









kwahiyo kama sina ndoa na kizazi pia sina? Kuzaa dumuhimu
 
nimetimiza miaka 30 sasa, huko nyuma nilitamani sana kuolewa nanilikuwa namlilia mungu sana anijalie nipate mume bora hiyo ndio ilikua
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa wala kuchumbiwa na mwanaume yeyote nimeishia kurubuniwa na kutapekliwa, nilitamani sana niwe na mume wangjt nimthani na kumjali ila baha ti ni mbaya sijabahatika.
Any way 4 sasa nimekua mtu mzima nimepata akili nimepitia mengi na nimejifunza mengi nanimetafakas4ri kwa kina n.ifmegundua sio kila unalolipanga kwenye maisha yako lazima ulipate hata ukimwomba mungu mengine inabidi usacrifise, japo utavumilia masengenyo kutoka kwenye jamii na mitazamo hasi kwa ndugu hata wazazi.
Leo hii nimekua mtu mzima sitamani kuolewa tena wala sivutiwi na ndoa yoyote hata mwanaume wa kuishi em3.
Napenda kuwa na watoto wawili nakupambana na däisha bila kujali baba yao atakua nani..
Nayafurahia maisha yangu na maamuzi yangu kuliko zamani nilivyokua nahitaji kuolewa najiona nimeshakua
mama nanina familia isiyokua na baba ninafuraha sana naninamshukuru mungu kila kukicha.
Sipendi kuolewa na sivutiwi na kuolewa wala ndoa sihitag!

Bi Latifaa kama roho yako imeridhika na mfumo wa maisha uliokuwa nao wa kuishi bila mume na siku za usoni hutakuja kujutia uamuzi wako huo basi hakuna tatizo lolote lile. Kupanga ni kuchagua hivyo furahia maisha yako....Kila la heri
 
Sasa utazaa na nani? Manake vijana wanataka kuoa. Kama ni mume wa mtu hakikisha unabaka mwenye possibility ya kukuoa japo mke wa 7 manake siku hizi wamama wakali hawasusi ndoa wala nini! Ndio nyie unazaa na mume wa mtu afu unamsaka mkewe unamuelezea!
Una tatizo wewe aisee, ongea na wakubwa wako...
kwahiyo kama sina ndoa na kizazi pia sina? Kuzaa dumuhimu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom