Latifaa
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 501
- 257
nimetimiza miaka 30 sasa, huko nyuma nilitamani sana kuolewa nanilikuwa namlilia mungu sana anijalie nipate mume bora hiyo ndio ilikua
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa wala kuchumbiwa na mwanaume yeyote nimeishia kurubuniwa na kutapekliwa, nilitamani sana niwe na mume wangjt nimthani na kumjali ila baha ti ni mbaya sijabahatika.
Any way 4 sasa nimekua mtu mzima nimepata akili nimepitia mengi na nimejifunza mengi nanimetafakas4ri kwa kina n.ifmegundua sio kila unalolipanga kwenye maisha yako lazima ulipate hata ukimwomba mungu mengine inabidi usacrifise, japo utavumilia masengenyo kutoka kwenye jamii na mitazamo hasi kwa ndugu hata wazazi.
Leo hii nimekua mtu mzima sitamani kuolewa tena wala sivutiwi na ndoa yoyote hata mwanaume wa kuishi em3.
Napenda kuwa na watoto wawili nakupambana na däisha bila kujali baba yao atakua nani..
Nayafurahia maisha yangu na maamuzi yangu kuliko zamani nilivyokua nahitaji kuolewa najiona nimeshakua
mama nanina familia isiyokua na baba ninafuraha sana naninamshukuru mungu kila kukicha.
Sipendi kuolewa na sivutiwi na kuolewa wala ndoa sihitag!
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa wala kuchumbiwa na mwanaume yeyote nimeishia kurubuniwa na kutapekliwa, nilitamani sana niwe na mume wangjt nimthani na kumjali ila baha ti ni mbaya sijabahatika.
Any way 4 sasa nimekua mtu mzima nimepata akili nimepitia mengi na nimejifunza mengi nanimetafakas4ri kwa kina n.ifmegundua sio kila unalolipanga kwenye maisha yako lazima ulipate hata ukimwomba mungu mengine inabidi usacrifise, japo utavumilia masengenyo kutoka kwenye jamii na mitazamo hasi kwa ndugu hata wazazi.
Leo hii nimekua mtu mzima sitamani kuolewa tena wala sivutiwi na ndoa yoyote hata mwanaume wa kuishi em3.
Napenda kuwa na watoto wawili nakupambana na däisha bila kujali baba yao atakua nani..
Nayafurahia maisha yangu na maamuzi yangu kuliko zamani nilivyokua nahitaji kuolewa najiona nimeshakua
mama nanina familia isiyokua na baba ninafuraha sana naninamshukuru mungu kila kukicha.
Sipendi kuolewa na sivutiwi na kuolewa wala ndoa sihitag!