sihitaji kuolewa je ni tatizo?

Status
Not open for further replies.
Amini nakwambia, kwa hiki ulichoandika, utaolewa na utabadili jina humu JF na hutotuambia!, tulia muda bado upo!
siwezi kubadili mtazamo wangu kwa sasa sekulu. Nimeridhika na uamuzi wangu
 
Mbona miaka 30 bado unalipa sana! Jichanganye dada acha kujifungia ndani na kuomba. Wapo wengi wanahitaji wanawake wa kuoa.
kujichanganya sio dawa ya kuolewa, kuolewa ni bahati na mpango wa mungu, wangapi tumewaona ??
Pamoja na kujichanganya hawajaoa wala kuolewa.
 
my dear Latifa usikate tamaa kama umepangiwa kuolewa utaolewa tu mumy. mie ndio nimetimiza 30yrs ila sina hofu sababu najua kila kitu kinapangwa na Mungu. Kuwa na subira
 
nimelelewa maisha ya dini na
nina mheshimu mungu nina maadili na heshima ila ninachokiamini sio lazima
kila unachoomba upate, dmndio maana maisha yametofautiana matajiri na
maskini sio kwamba maskini hawaombi nao pia wanaomba ila ndio hivyo, sio lazima kila bidada aolewe

Umekatazwa hapo juu kutaja jina hilo kwa helufi ndogo, andika MUNGU au Mungu!
 
Sister maombi muhimu, na pia uamuzi wako wa kuzaa kuwa mwangalifu usizae na mume wa mtu as kusababisha mwanamke mwenzio kupata maumivu,

Although bado mdogo lakini nimegundua kitu kimoja, nature ya shughuli zangu za kusaka ugali zinanikutanisha na watu kibao especially tunaowaita wamefanikiwa kibongo bongo ambao hata mimi natamani kuwa like them, vijana wenye biashara zao na maisha yao ya uhakika hata mtoto kusomeshwa alabama na wengi wao ambao mdada yoyote wa kisasa nina uhakika akatai wito wao unakuta wameoa wanawake wa kawaida sana tena unakuta ni house wife au kafunguliwa miradi na mumewe aisimamie kama vile wadada wasomi na waliolemika hawapo, kuna mmoja alinijibu maisha ni safari ndefu na ili mwanaume afanikiwe lazima kuna mwanamke mwenye heshima na kuthamini nyuma so unakuta wamesota pamoja toka jamaa anahustle au amezinguliwa na wadada wa kisasa akaamua kuweka ndani mdada wa kawaida sana, so ushauri soteni na wanaume wenu maaana wengi wa wamama wanaoendesha morano na maduka kariakoo na miradi mingine ni waliwavumilia wanaume zao kwa mengi, but nyinyi wa kisasa mnataka potential candidate awe amesimama.

Ili asimame pika ugali mzuri ashibe, akirudi mliwaze, kelele na ugomvi wa kijinga jinga epuka kumpa nafasi ya kuwaza kwenye mambo ya msingi mtoke vipi uone kama na wewe ujaja kutamaniwa na wanawake wenzako kwa ndoa yako nzuri
 
Sister maombi muhimu, na pia uamuzi wako wa kuzaa kuwa mwangalifu usizae na mume wa mtu as kusababisha mwanamke mwenzio kupata maumivu,

Although bado mdogo lakini nimegundua kitu kimoja, nature ya shughuli zangu za kusaka ugali zinanikutanisha na watu kibao especially tunaowaita wamefanikiwa kibongo bongo ambao hata mimi natamani kuwa like them, vijana wenye biashara zao na maisha yao ya uhakika hata mtoto kusomeshwa alabama na wengi wao ambao mdada yoyote wa kisasa nina uhakika akatai wito wao unakuta wameoa wanawake wa kawaida sana tena unakuta ni house wife au kafunguliwa miradi na mumewe aisimamie kama vile wadada wasomi na waliolemika hawapo, kuna mmoja alinijibu maisha ni safari ndefu na ili mwanaume afanikiwe lazima kuna mwanamke mwenye heshima na kuthamini nyuma so unakuta wamesota pamoja toka jamaa anahustle au amezinguliwa na wadada wa kisasa akaamua kuweka ndani mdada wa kawaida sana, so ushauri soteni na wanaume wenu maaana wengi wa wamama wanaoendesha morano na maduka kariakoo na miradi mingine ni waliwavumilia wanaume zao kwa mengi, but nyinyi wa kisasa mnataka potential candidate awe amesimama.

Ili asimame pika ugali mzuri ashibe, akirudi mliwaze, kelele na ugomvi wa kijinga jinga epuka kumpa nafasi ya kuwaza kwenye mambo ya msingi mtoke vipi uone kama na wewe ujaja kutamaniwa na wanawake wenzako kwa ndoa yako nzuri

Ningekuwa na uwezo, huu ujumbe ningeusambaza kwa mabinti wote wanaojifanya wanataka wanaume wenye pesa! Like elfu moja mara mia. Njoo upate bia nguruko aisee.
 
Mdau anaonekana ana maumivu makali sana moyoni lakini ana act kuwa jeuri.
Yani utani pembeni hata mimi nimeona kama ulivyo ona wewe...Hawa ndo wale wakiona wenzao wanaolewa wanaishia kulia kwanini wasiolewe wao, lakini wanajidai hawana shida tena ya kuolewa :biggrin:
 
Ningekuwa na uwezo, huu ujumbe ningeusambaza kwa mabinti wote wanaojifanya wanataka wanaume wenye pesa! Like elfu moja mara mia. Njoo upate bia nguruko aisee.

Thanx bro, wengi wanataka kuvuna wasichopanda ndo maana wanalalamika daily,

Dada zangu kwa kuongezea mwanaume akishasimama anakuwa amejanjaruka hapo hata akikutongoza hakuoi as hakuamini as anajua umezimkia maisha yake hata kama wewe unampenda kweli yeye ataamini vingine lazima atakukimbia..

Wise woman wanamkamata mwanaume potential mapema kabla hata resi azijachanganya ili akija kusimama na kujanjaruka anakuwa anakuwa tayari ameshaolewa siku nyingi na kama mapacha ameshamzalia mwanaume ataruka vipi unamjua nje ndani.. Hata kwa wakwe na mawifi unakuwa na amani as hakuna la kusema umefata mali wala nini as wewe ulikwepo wakat hazipo na kipindi kile ajajanjaruka ndo unamchanganya na kumkoleza ma feelings moyoni mwake mwisho wa siku mgodi ukitema aah unabadilisha leo x trail, kesho mark x na huku amani ipo moyoni, vinchechede vikimtega husband vinaambulia maumivu as mjanja umeshawai nafasi moyoni kitambo,

Chunguza wenye vipato wengi vya kutosha wake zao walianza nao kipindi gani utaona,

Maana kuna mdada secretary hapa ofisin kwetu huyo mumewe alivyo mdau hadi mabos wanamuogopa as kwanza gari tu anazoendesha unaogopa, but anakwambia alipotoka na mumewe yaani anajua mungu tu. Kiasi kwamba wanaomjua wanakubali maisha hayana mwenyewe..
 
Rafiki..., Maisha ni yako mwenyewe na unaishi kwa furaha zako, kwahio hata siku moja usiruhusu jamii ikupangia maisha.., hivyo basi:-
  • Kama hutaki wala hupendi kuolewa its okay wala mtu asikulazimishe wala hauna matatizo, tatizo itakuwa ni wewe kuolewa sababu ya kuogopa jamii na sio kutaka kuingia kwenye ndoa
  • Kama hutaki kuolewa kwa sasa wala usiolewe lakini never say never sababu kama maisha yatabadilika labda unaweza kubadilisha mawazo (hivyo basi kuolewa au kutokuolewa yote ni sawa, na hakuna aliye bora kuliko mwenzake)
  • Ishi maisha yako kwa furaha wewe na watoto wako (kama utawapata) na sio kufanya kama ndoa ni career fulani au destination.., sababu kuoelewa au kutokuolewa bado utaishi na unaweza ukawa na furaha au majonzi ukiwa kwenye ndoa au nje ya ndoa
 
kwanza mm nipo kwenye ndoa mwaka2 sasa.nakushauri ingia uone watu wanavyoinjoi mama full kukumbatiwa mpaka asubuh.maisha ya ndoa yanahitaji kufahamiana na kuvumiliana.then life goes on.
 
Latifa ndugu yangu, inaelekea umepitia magumu mengi ya mahusiano ya kimapenzi mpaka ukafikia kufanya maamuzi hayo..Nikwambie kitu, mimi naelekea miaka 31, sina mchumba ila bado naamini iko siku nitampata mwanaume ambaye atakuja kuwa Mume wangu..Ni mapema mno kukata tamaa..Kama kuumizwa kimapenzi sio wewe tuu amabaye umeumizwa, kuna watu wameumizwa kuliko wewe.. Endelea kumtumaini Mungu wako hatakuacha nyuma.. Kila la Heri..
 
Thanx bro, wengi wanataka kuvuna wasichopanda ndo maana wanalalamika daily,

Dada zangu kwa kuongezea mwanaume akishasimama anakuwa amejanjaruka hapo hata akikutongoza hakuoi as hakuamini as anajua umezimkia maisha yake hata kama wewe unampenda kweli yeye ataamini vingine lazima atakukimbia..

Wise woman wanamkamata mwanaume potential mapema kabla hata resi azijachanganya ili akija kusimama na kujanjaruka anakuwa anakuwa tayari ameshaolewa siku nyingi na kama mapacha ameshamzalia mwanaume ataruka vipi unamjua nje ndani.. Hata kwa wakwe na mawifi unakuwa na amani as hakuna la kusema umefata mali wala nini as wewe ulikwepo wakat hazipo na kipindi kile ajajanjaruka ndo unamchanganya na kumkoleza ma feelings moyoni mwake mwisho wa siku mgodi ukitema aah unabadilisha leo x trail, kesho mark x na huku amani ipo moyoni, vinchechede vikimtega husband vinaambulia maumivu as mjanja umeshawai nafasi moyoni kitambo,

Chunguza wenye vipato wengi vya kutosha wake zao walianza nao kipindi gani utaona,

Maana kuna mdada secretary hapa ofisin kwetu huyo mumewe alivyo mdau hadi mabos wanamuogopa as kwanza gari tu anazoendesha unaogopa, but anakwambia alipotoka na mumewe yaani anajua mungu tu. Kiasi kwamba wanaomjua wanakubali maisha hayana mwenyewe..
unaongea tuu wewe! Kuoa au kuolewa sio lazima.
 
Not true, si kwamba huhitaji kuolewa. Its just that at this point uko very frustrated, and you are reacting kwa njia ambayo unahisi itakufanya ujisikie vizuri. Kama kweli ungekuwa hutaki mume, usingeandika maneno meengi kuelezea kwamba unajihisi u mama na familia tayari halafu huna baba, then unataka kuzaa na yeyote nk. Trust me, its normal. All you need is a man that deserves you, and a bit of luck. You need to let go of the denial state you are going thru. Mk1
 
nimelelewa maisha ya dini na
nina mheshimu mungu nina maadili na heshima ila ninachokiamini sio lazima
kila unachoomba upate, dmndio maana maisha yametofautiana matajiri na
maskini sio kwamba maskini hawaombi nao pia wanaomba ila ndio hivyo, sio lazima kila bidada aolewe
Ukichukua maneno ya mwanzo ya post hii ulinganishe na post zako nyingine ktk uzi huu, utagundua kuwa unajichanganya sana! Pole sana dadaangu.
 
Not true, si kwamba huhitaji kuolewa. Its just that at this point uko very frustrated, and you are reacting kwa njia ambayo unahisi itakufanya ujisikie vizuri. Kama kweli ungekuwa hutaki mume, usingeandika maneno meengi kuelezea kwamba unajihisi u mama na familia tayari halafu huna baba, then unataka kuzaa na yeyote nk. Trust me, its normal. All you need is a man that deserves you, and a bit of luck. You need to let go of the denial state you are going thru. Mk1
noo niko siriazi kweli sina hamu ya kuolewa, bf ninae ila nitazaa nae tuu ndio mpango wangu.
 
Tuko baba uko wap, nakumbuka ulinambia unatafuta mke...natumai mungu kajibu maombi.:bange:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom