Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,387
- 3,575
Zifuatazo ni sifa za mwalimu mpya 2014;
1.hana kitanda.
2.anatandika chini
3.ana sufuria mbili
4.anatumia kuni au mkaa kidogo kupikia
5. Hana meza 6.
Hana viti.
7.ni mzigo kwa walimu wenyeji kwani hajitoshelez kwa mahtaji
8. Anapga simu sana kwa ndgu na jamaa kuwalilia ya kuwa amepangwa kijijini, hajui kuwa vita huanzia msituni na kuishia mjini
9.muda mwing huwapgia wenzie na kuwaulza wamepangwa wap? EE MWENYEZ MUNGU WASAIDIE WALIMU HAWA,WALIOSAHAULIKA GHAFLA KWA KUPEWA PESA NUSU YA KUJIKIMU. AMEEN
1.hana kitanda.
2.anatandika chini
3.ana sufuria mbili
4.anatumia kuni au mkaa kidogo kupikia
5. Hana meza 6.
Hana viti.
7.ni mzigo kwa walimu wenyeji kwani hajitoshelez kwa mahtaji
8. Anapga simu sana kwa ndgu na jamaa kuwalilia ya kuwa amepangwa kijijini, hajui kuwa vita huanzia msituni na kuishia mjini
9.muda mwing huwapgia wenzie na kuwaulza wamepangwa wap? EE MWENYEZ MUNGU WASAIDIE WALIMU HAWA,WALIOSAHAULIKA GHAFLA KWA KUPEWA PESA NUSU YA KUJIKIMU. AMEEN