kama utapata RAM yake inayonzia 1GB kuendelea ni nzuri ziadi kwani chini ya hapo ni matatizo sana..pia HARD DISK atleast 80GB dualCORE PROCCESSER speed ATLEAST 2 mengine ni mbwembwe tu inategemeana na matakwa ya mtumiaji lakini vya msingi ni hivyo.. kampuni nzuri ni toshiba na dell japo hp nazo ni nzuri ila nyingi hazina sauti labda kama una subwoofer home
laptop nzuri orijino inaanzia laki saba hivi ila hata ikipungua si sana..ila kama unapenda kitu used hata laki nne na nusu waweza pata kuna website kama "www.wanachuo.com" unaeza tembelea ukaona bei na specification kabla hujaenda madukani usije ukauziwa kitu cha kichina kwa bei ya kutupa
khaaa..na weye mboyizia???Kaka Asigwa umetoa maelezo ya kutosha and thanks for the website. Long live T Boyz
khaaa..na weye mboyizia???
pamoja sana kijana wa mrisho