Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Jamaa yangu katembelewa na mama mkwe wake ambaye kaja Dar kwa matibabu, sasa kwa vile amepanga chumba kimoja ikabidi awapishe mkewe, mamake na mama mkubwa walale afu yeye aje kujihifadhi kwangu, kwa vile mimi bado bachela.
Wakati tunajiandaa kulala nikamwambia achukue shuka la kujifunika kwa kuwa usiku kuna baridi, jamaa akadai yeye hajifunikagi miksa alivyoenda Mbeya kikazi alikataa mablanketi ya gesti...
Cha ajabu usiku huu wa matisa kajamaa kamejikunja kama samaki miksa kanajikumbatia na ngumi, jamani?
Wakati tunajiandaa kulala nikamwambia achukue shuka la kujifunika kwa kuwa usiku kuna baridi, jamaa akadai yeye hajifunikagi miksa alivyoenda Mbeya kikazi alikataa mablanketi ya gesti...
Cha ajabu usiku huu wa matisa kajamaa kamejikunja kama samaki miksa kanajikumbatia na ngumi, jamani?