Haya tena wanajamii CCM imetowa uamuzi utakaogusa mustakbali wa nchi kwa kumteua Dr. Shein kuwa mgombea wa urais wa sehemu moja ya Muungano (Zanzibar)
Tulisikia mengi kutoka kwa wana CCM wenyewe kuhusu nafasi hiyo ilo ikigombaniwa na watu 11. Katika hatuwa ya mwisho majina matatu yalipigiwa kura na matokeo Dr. Shein kuwashinda Dr. Bilali na Shamsi Nahodha. Nimekuwa najiuliza wakubwa wa CCM walitumia vigezo gani vya kuwanufaisha Wazanzibari kwa uamuzi wao?
Ama kwa mimi naona hawa watatu hawana tofauti kati yao kwa maslaha ya Wazanzibari. Naomba ukumbi unisaidie kuiondowa hofu yangu hiyo!
Tulisikia mengi kutoka kwa wana CCM wenyewe kuhusu nafasi hiyo ilo ikigombaniwa na watu 11. Katika hatuwa ya mwisho majina matatu yalipigiwa kura na matokeo Dr. Shein kuwashinda Dr. Bilali na Shamsi Nahodha. Nimekuwa najiuliza wakubwa wa CCM walitumia vigezo gani vya kuwanufaisha Wazanzibari kwa uamuzi wao?
Ama kwa mimi naona hawa watatu hawana tofauti kati yao kwa maslaha ya Wazanzibari. Naomba ukumbi unisaidie kuiondowa hofu yangu hiyo!