Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Siasa za nchi hii huwa hazieleweki kabisa. Ni siasa zilizojengwa katika misingi ya kuburudishana na kufurahishana. Kama mtu ni CCM hata kama chama chake kinakosea basi atakitetea mpaka mijasho inamtoka, na akiwa wa chama kingine hata kama chama hicho kinapotea yeye "atakomaa" hata kwa kutoa mitusi ya nguoni.
Siasa zetu hakuna hoja inayobishaniwa. Kenya kwenye uchaguzi wao ujao hoja ni nani anaweza kuijenga Kenya isiyo na ukabila, Marekani hoja ni kama Bima ya Afya iliyopendekezwa na utawala wa Obama inafaa au haifai. Hapa kwetu hoja ni kama Vincent ni mtoto wa Nyerere au siyo!!
HIZI NI SIASA ZA KIKATUNI!!
Siasa zetu hakuna hoja inayobishaniwa. Kenya kwenye uchaguzi wao ujao hoja ni nani anaweza kuijenga Kenya isiyo na ukabila, Marekani hoja ni kama Bima ya Afya iliyopendekezwa na utawala wa Obama inafaa au haifai. Hapa kwetu hoja ni kama Vincent ni mtoto wa Nyerere au siyo!!
HIZI NI SIASA ZA KIKATUNI!!