Siasa: Kama hii katuni ya chatu na mbwa imechorwa na Masood Kipanya basi anapaswa kupewa tuzo ya kutuchanganya

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,331
8,254
KIPANYA.jpg


1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
 
Tafsiri

Chadema wamejisalimisha kwa CCM na sasa CCM inawapeleka Chadema inapo taka mbaya zaidi CCM inawarudisha nyuma chadema inawezekana wakafa kabisa kwa sababu CCM wameingia ndani na wameshaharibu mifumo Yao yote. Kuanzia upuaji hadi mmeng'enyo wa Chakula ina maana mpaka Leo Chadema hawana moyo maini wala figo. WAMEKWISHA. SALUTE KWA KIPANYA.

Nmejaribu kutafsiri
 
View attachment 2544444

1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
Kulingana na picha hapo juu,

Maridhiano ni FAKE. Kila Mmoja na njia yake.

Rais anaongelea mabadiliko ya Katiba iliyopo, CDM wanadai KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.

Tusubiri.
 
View attachment 2544444

1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
CCM (CHATU), MIGUU YA MBWA (MIHIMILI YA DOLA + WANANCHI)... CCM(CHATU) imemeza mihimili yote ya dola pamoja na wananchi wake wote.. Huo uelekeo wa chatu na miguu ya mbwa kuwa tofauti - Hii inaamanisha DIRA ya Taifa na Dira ya chama tawala kwasasa ni tofauti kichwa cha CHATU(Rais) kinaonekana kuingalia miguu ya mbwa kana kwamba imemzidi nguvu ya uelekeo wake na sasa anatafakari namna ya kuishinda hiyo nguvu japo ni kama kashachelewa maana MBWA HAJAFA na sasa anapata wasiwasi kuwa tayari kashakosea na yeye yupo kwenye hatari ya kufa(kupoteza nguvu aliyo nayo madarakani).
 
Tafsiri

Chadema wamejisalimisha kwa CCM na sasa CCM inawapeleka Chadema inapo taka mbaya zaidi CCM inawarudisha nyuma chadema inawezekana wakafa kabisa kwa sababu CCM wameingia ndani na wameshaharibu mifumo Yao yote. Kuanzia upuaji hadi mmeng'enyo wa Chakula ina maana mpaka Leo Chadema hawana moyo maini wala figo. WAMEKWISHA. SALUTE KWA KIPANYA.

Nmejaribu kutafsiri
100%
 
Tafsiri

Chadema wamejisalimisha kwa CCM na sasa CCM inawapeleka Chadema inapo taka mbaya zaidi CCM inawarudisha nyuma chadema inawezekana wakafa kabisa kwa sababu CCM wameingia ndani na wameshaharibu mifumo Yao yote. Kuanzia upuaji hadi mmeng'enyo wa Chakula ina maana mpaka Leo Chadema hawana moyo maini wala figo. WAMEKWISHA. SALUTE KWA KIPANYA.

Nmejaribu kutafsiri
CDM hawajafa ndomana wanaembea Bado.

Soon, they will all die.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom