We dogo, hakuna mwenye mamlaka ya kuuweka ujanja wa babu mfukoni. Babu ni Babu!
Hapa ni Babu na maslahi yake. Unajua kusoma katikati ya mistari?
Hivi Keren_Hapuch umemficha wapi?
Ukimwona mwambie nammisi sana eti.
Hapa ni Babu na maslahi yake. Unajua kusoma katikati ya mistari?
Hivi Keren_Hapuch umemficha wapi?
Ukimwona mwambie nammisi sana eti.
hahahaha na nnavyomjua Bibi utani kama babu hachelewi kuja na jina hilo. Bibi hebu ni PM nikonong'oneze kitu.Kimey...nina mashaka na kipipi................siyo Bibi yangu huyu wajameni?
hahahaha na nnavyomjua Bibi utani kama babu hachelewi kuja na jina hilo. Bibi hebu ni PM nikonong'oneze kitu.
hahaha Cheat Chart si ndo hii bana,Inakuwaje unashiriki uchakachuzi wa hii sredi ya babu kwenye cheat chart? Hii mbaya sana...
hahaha Cheat Chart si ndo hii bana,
hommie mambo yakoje?
Honestly, sifurahii huu ujio,uwepo wa bibi hapa JF.....utatunyima uhuru wetu na Babu....am not happy!
Khaaaa!!! Dada yangu kumbe na wewe chini chini ulikuwa una ajenda na babu usirudi nyumbani leo uishie huko hukoHonestly, sifurahii huu ujio,uwepo wa bibi hapa JF.....utatunyima uhuru wetu na Babu....am not happy!
Khaaaa!!! Dada yangu kumbe na wewe chini chini ulikuwa una ajenda na babu usirudi nyumbani leo uishie huko huko